Nilipotezana naye tangu mwaka 1993. Ningependa kuwasiliana naye. Nitashukuru kama kuna mtu anamfahamu huyu dada na akaniwezesha kuwasiliana naye. Alikuwa JKT Mlale, Ruvumba mwaka 1992/93 operation ya vyama vingi. Baba yake aliwahi kuwa mkuu wa wilaya (nadhani Nzega na za mikoa ya kusini mwa Tanzania - aidha Ruvuma, Lindi au Mtwara).
Contact: 0719427944
Contact: 0719427944