pererge
JF-Expert Member
- Nov 8, 2012
- 571
- 201
Nimepotezana na dada yangu jina Fatuma Omari kwa miaka zaidi ya 15. Nasikia kuwa yuko Dar es salaam.
Huyu dada aliwahi kufanya kazi kwenye kampuni ya viatu BORA pale Tanga Mjini miaka ya tisini kwenye duka la BORA lilikuwa karibu na stendi na baadae walihamisha duka likawa karibu na uwanja wa Mkwakwani.
Namtafuta sana ndugu yangu huyu, Mwenye kujua naomba inijulishe.
Asanteni.
Huyu dada aliwahi kufanya kazi kwenye kampuni ya viatu BORA pale Tanga Mjini miaka ya tisini kwenye duka la BORA lilikuwa karibu na stendi na baadae walihamisha duka likawa karibu na uwanja wa Mkwakwani.
Namtafuta sana ndugu yangu huyu, Mwenye kujua naomba inijulishe.
Asanteni.