Namtafuta dada fatuma

pererge

JF-Expert Member
Nov 8, 2012
571
201
Nimepotezana na dada yangu jina Fatuma Omari kwa miaka zaidi ya 15. Nasikia kuwa yuko Dar es salaam.
Huyu dada aliwahi kufanya kazi kwenye kampuni ya viatu BORA pale Tanga Mjini miaka ya tisini kwenye duka la BORA lilikuwa karibu na stendi na baadae walihamisha duka likawa karibu na uwanja wa Mkwakwani.

Namtafuta sana ndugu yangu huyu, Mwenye kujua naomba inijulishe.

Asanteni.
 
ukishindwa kabisa peleka facebook ndugu pale usipompata basi utampata mtu ambaye anaconnection nae
 
Kama sio mjomba mkude kapige simu radio one wanakipindi cha kutafutana. Na hisi na free africa radio wanacho pia.
 
Kama sio mjomba mkude kapige simu radio one wanakipindi cha kutafutana. Na hisi na free africa radio wanacho pia.

Sawa, tatizo kwenye redio tangazo likishapita kama hukuwa umelisikia indio imetoka, afadhali huku mtandaoni watu wengi wanaliona na linakaa kwa muda mrefu.

Pia nashukuru kwa wazo lako zuri.
 
Sawa, tatizo kwenye redio tangazo likishapita kama hukuwa umelisikia indio imetoka, afadhali huku mtandaoni watu wengi wanaliona na linakaa kwa muda mrefu.

Pia nashukuru kwa wazo lako zuri.

Mi namtafuta mke wako hatujaonana toka tilipomaliza shule miaka ilee....dah nna hamu nae kweli
 
nduguyo kweliii?iwaje usitafute kwenye mashina ya undugu,ila pole sana mimi pia namtafuta aisha kilumanga ,huyu tulikuwa wote jamhuri p/s dar es salaam .'96',ila samahani kwa upekuzi.
 
nduguyo kweliii?iwaje usitafute kwenye mashina ya undugu,ila pole sana mimi pia namtafuta aisha kilumanga ,huyu tulikuwa wote jamhuri p/s dar es salaam .'96',ila samahani kwa upekuzi.

Maswali yako ni ya msingi kweli, niliwahi kukutana na mdogo wake miaka minne ilopita huko kijijini akanielekeza kuwa dada yupo Dar, ila yeye hakuwa na simu (huyo mdogo mtu) kwahiyo sikuweza kupata contacts

Ni ndugu kwa mababu zetu, Nyumbani Kwao sijafika siku nyingi sana.

Alinisaidia sana wakati nasoma shule.
 
Back
Top Bottom