mkata-mkaa
JF-Expert Member
- Nov 16, 2016
- 296
- 181
Wakuu habari zenu,
Namtafuta mzee wangu. Mama na mzee waligombana kipindi mimi nazaliwa kwa hiyo mzee aliondoka na mama akakata kabisa mawasiliano naye.
Ni miaka zaidi ya 25 imepita, mimi simfahamu mzee hata kwa picha, baada ya mahojiano na mama akanipa maelezo yafuatayo
- Jina lake ni Jovin Machumu
-Mara ya mwisho mama alisikia anaishi Shinyanga na alikuwa anafanya kazi Tanzania National Miling
-kabila lake ni Muhaya
- Hawafahamu kabisa ndugu wa mzee
Kwa yeyote ambaye anamjua mtu ambaye alifanya kazi national milling Shinyanga naomba aniunganishe. Sina maelezo mengine zaidi ya hayo kwa hiyo naomba msaada wenu wakuu. Mwenye nia ya kunisaidia anitumie meseji pm.
update :
bado sijafanikiwa
Namtafuta mzee wangu. Mama na mzee waligombana kipindi mimi nazaliwa kwa hiyo mzee aliondoka na mama akakata kabisa mawasiliano naye.
Ni miaka zaidi ya 25 imepita, mimi simfahamu mzee hata kwa picha, baada ya mahojiano na mama akanipa maelezo yafuatayo
- Jina lake ni Jovin Machumu
-Mara ya mwisho mama alisikia anaishi Shinyanga na alikuwa anafanya kazi Tanzania National Miling
-kabila lake ni Muhaya
- Hawafahamu kabisa ndugu wa mzee
Kwa yeyote ambaye anamjua mtu ambaye alifanya kazi national milling Shinyanga naomba aniunganishe. Sina maelezo mengine zaidi ya hayo kwa hiyo naomba msaada wenu wakuu. Mwenye nia ya kunisaidia anitumie meseji pm.
update :
bado sijafanikiwa