Naitwa Fatna kwa sasa nipo Tanga, mama yangu anaitwa Mariam Mgaya. Kwa Maelezo niliyopewa na mama kuhusu baba yangu haya "Baba yangu alikuwa anajulikana kwa majina KUTARASA MBARALI au SAIDI MBARALI, kipindi wanakutana na mama yangu, mama alikuwa anafanya kazi counter kwenye bar ya kaka yake na ndy alikuwa anasimamia bar mpya manzese karibu na msikiti wakione na kit kat iliyopo manzese kwa mfuga mbwa, SAIDI alikuwa anafanya kazi duka la vioo Lmd, kabila ni mngoni wa namtumbo alikuwa amepanga kwenye nyumba za akina Aziza karibu na dodoma bar Manzese Dar es salaam"
Hicho ndy ninacho kijua mpk sasa, kwa yoyote Mwenye kujua
majina tajwa hapo juu naomba tuwasiliane DM au kwa namba 0628 994 604 au 0672 38 15 89
(Sent as received)
Hicho ndy ninacho kijua mpk sasa, kwa yoyote Mwenye kujua
majina tajwa hapo juu naomba tuwasiliane DM au kwa namba 0628 994 604 au 0672 38 15 89
(Sent as received)