mkuu Pascal Mayalla njoo huku kuna niece wako anakutafuteni bana....
Sasa umeandika nini. Kwa hiyo yeye kajiotea tu kuwa huyo ndiye baba yake? Watu wengine bwana taabu tupu.Ulishawai kumuuliza mama yako mzazi vizuri, kuhusu baba yako? Sababu Wamama ndio wanaojua hasa baba ya mtoto ni nani , Muulize vizuri Mama yako utaujua ukweli.
Huyo jamaa ni kilaza, kakurupuka tu kuandika. Nami nimemuuliza juu ya anachomaanisha.Tambua kuwa taarifa zote hizi source ni mama wa huyu dada sasa aulizwe nini tena.Haijalishi walikosana au laa yeye a ataka kumjua baba yake na ndg zake tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo kuna kesi zake humu JF ya kuwakataa wajukuu zake, yaain ndio ukoo huo huo itakua maana maji ufuata mkondomkuu Pascal Mayalla njoo huku kuna niece wako anakutafuteni bana....
😅😅😅😅
Haahaa jf bana ni burudanivipi umeshampata?
maana kuna mzee hapa nae anasema amepotezana na mtoto wake toka siku waliomzika uyo mtoto
jina la mzee ni haji makami
kama atakufaa nikuunganishe
Hii ndo pointBaba kama alikuacha bila kuona kuna muhimu akutafute huyo ni baba sasa, unamtafuta wakati yeye hakutafuti mpotezee tu hana issue
Mambo haya wakati mwingine ni mkanganyiko tupu.Baba kama alikuacha bila kuona kuna muhimu akutafute huyo ni baba sasa, unamtafuta wakati yeye hakutafuti mpotezee tu hana issue
Mtemi ChengeSUkumaland raisi wake nani??
Jinga moja limekosa cha kuchangia.Ndio mwanangu nimefurahi kusikia upo dotto, mimi mwenyewe Baba yako nipo uyole hapa nakula mtungi karibu na ofisi za tulia trust nitakutafuta mwanangu
Achana naye huyo...watu wengine ndivyo walivyo..Hebu kua makini kwa jambo makini mkuu
jaribu kwenda NIDA, nenda kwenye mitandao ya simu, nenda TRA, hayo ni maeneo yanayohifadhi taarifa za watu. NIDa wao ndio wanaatarifa nyingi.Poleni kwamajukumu yote ya kujenga Taifa.
Mimi ninaitwa Silivia naishi uyole mbeya.Baba yangu alimuoa mama igoma wakati akifanya kazi kama muuguzi wa afya hapo igoma mbeya.
Tulizaliwa mapacha mimi na Immanuel. Baba alitengana na mama tukiwa wadogo hivyo tumekua bila uwepo wake.
Mimi nimeolewa na nina watoto watatu na huyo Immanuel naye alioa na kupata watoto wawili lakini kwa bahati mbaya alifariki mwaka 2015 na akazikwa mbeya na watoto wake ninawalea mimi.
Mama ambaye kwa kabila ni mkinga alitupa taarifa hizi kuhusu baba na hakupenda tumjue kama ilivyo matokeo ya wapendanao wakigombana.
Simtafuti baba ili kupata urithi au chochote bali niweze kumjua na kuwajua ndugu zangu wengine kama mwanafamilia.
Taarifa ya mwisho ni kuwa baba alipohama Igoma alihamia uvinza kiwanda cha chumvi mkoani kigoma.
Kwa watanzania wenzangu wenye MAPENZI mema na wenye kumjua huyu Melkioli MAYALA mnisaidie kumpata baba yangu.Nimetumia uwanja huu mpana ili niweze kusaidika.
Asanteni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaapp!! Nilitaka sema hivi.Ungetaja miaka ingesaidia sana