Namtafuta baba mzazi Mr. Jumanne aliyekuwa dereva Chuo cha CBE Dodoma

Pole sana mleta mada, kama mama yako alikulea mpaka hapo ulipofika kwanini unahangaika kumtafuta asiye kulea? Uje umkute ana matatizo lukuki uwanze kuyabeba.

Labda kama unataka kufahamu magonjwa ya kurithi kutoka kwenye ukoo wa Baba yako uanze kujilinda.
Haahaaaaa kama hujawahi kumwona unamtafuta wa nini ? Hapo ni kama anatafuta matatizo kwa nguvu ,mimi namfahamu ila najua nitakuwa nimekusaidia kuingia ktk matatizo sikuonyeshi alipo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana mleta mada, kama mama yako alikulea mpaka hapo ulipofika kwanini unahangaika kumtafuta asiye kulea? Uje umkute ana matatizo lukuki uwanze kuyabeba.

Labda kama unataka kufahamu magonjwa ya kurithi kutoka kwenye ukoo wa Baba yako uanze kujilinda.
Jamani Baba ni Baba awe na ebola au awe na mguu mmoja bado atabaki kuwa Baba.
 
tunaposema tunaenda kuwaona wazee wetu huwa tunamaanisha wamezeeka?
Ila kumbuka hilo haliondoi maana halisi ya Mtu Mzee.

Kimaongezi ni tofauti na maandishi ya kumuelezea Mtu....mfano hapo unaposema "Mzee huyu alikuwa dereva..." wengi watatengeneza picha ya Mtu fulani mwenye umri mkubwa, na watajaribu kukumbuka ni Mzee gani alikuwa Dereva hapo CBE.

Any way, nakutakia kila la kheri ufanikiwe.
 
Achana nae huyo baba, ni coward, alikataa mimba. Mshukuru mama yako kwa uvumilivu, hakukuchomoa. Achana na huyo muoga atakuongezea majukumu, yaani atavuna asipopanda. Mama anasiri kubwa ya jinsi ulivyokataliwa.

Ongea na mama kwa busara atakuambia kwa nini hajakutajia mzee wako.

Naamini ukiujua ukweli hutamtafuta Tena huyo malaya wakiume. Jikubari tu kuwa wewe ni mtoto HARAMU. tupo wengi sio peke yako!
 
Mbona umemtaja kama Mzee na umeshasema hujawahi kumuona? huenda kwa miaka hiyo ya 80's alikuwa chalii tu na bado hajawa Mzee.
Ni lugha ya kawaida sana watoto hususan vijana wa kiume kuwaita wazazi wao wa kiume "mzee" no matter baba ana umri gani; hata kama baba ana 30yrs bado mwanaye atamwita "mzee wangu" katika lugha ya kawaida ya vijana.
 
Achana nae huyo baba, ni coward, alikataa mimba. Mshukuru mama yako kwauvumilivu, hakukuchomoa. Achana na huyo muoga atakuongezea majukumu, yaan atavuna asipopanda. Mama anasiri kubwa ya jinsi ulivyokataliwa.
Ongea na mama kwa busara atakuambia kwann hajakutajia mzee wako.
naamini ukiujua ukweli hutamtafuta Tena huyo malaya wakiume. Jikubari tu kuwa wewe ni mtoto HARAMU. tupo wengi sio peke yako!
Una uhakika? Amekuambia mama yake hajamwambia sababu za kutengana. Labda mama yake ndie alimkataa baba yake je?

Usiwe mwepesi wa kukata shauri, unaweza kuja kuumia pasipo sababu. Utafukuza mkeo kwa ajili ya mtu aliepiga simu na kumwita honey hujambo kumbe kakosea namba!
 
Pole sana mleta mada, kama mama yako alikulea mpaka hapo ulipofika kwanini unahangaika kumtafuta asiye kulea? Uje umkute ana matatizo lukuki uwanze kuyabeba.

Labda kama unataka kufahamu magonjwa ya kurithi kutoka kwenye ukoo wa Baba yako uanze kujilinda.
Wanawake mna roho mbaya haijalishi anabaki kuwa ni baba tu
 
Una uhakika? Amekuambia mama yake hajamwambia sababu za kutengana. Labda mama yake ndie alimkataa baba yake je?

Usiwe mwepesi wa kukata shauri, unaweza kuja kuumia pasipo sababu. Utafukuza mkeo kwa ajili ya mtu aliepiga simu na kumwita honey hujambo kumbe kakosea namba!
Hakuna mama anaemkataa baba, ila wapo kina baba wanaokataa mimba. Ndio chanzo Cha watoto kutupwa na mimba kuchomolewa.
 
Pole sana mleta mada, kama mama yako alikulea mpaka hapo ulipofika kwanini unahangaika kumtafuta asiye kulea? Uje umkute ana matatizo lukuki uwanze kuyabeba.

Labda kama unataka kufahamu magonjwa ya kurithi kutoka kwenye ukoo wa Baba yako uanze kujilinda.
 
Pole sana mleta mada, kama mama yako alikulea mpaka hapo ulipofika kwanini unahangaika kumtafuta asiye kulea? Uje umkute ana matatizo lukuki uwanze kuyabeba.

Labda kama unataka kufahamu magonjwa ya kurithi kutoka kwenye ukoo wa Baba yako uanze kujilinda.
Huu sio mwandiko wako haiwezekan

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom