batan
JF-Expert Member
- Jan 15, 2016
- 417
- 364
Nimezaliwa miaka ya 80 mwishoni na sasa nna familia na watoto wawili na ni muajiriwa. Nakuja hapa kumtafuta mzee ambaye ni baba yangu ambaye sijawahi muona na majina yake niliambiwa jina lake moja tu kuwa anaitwa Jumanne. Mzee huyu alikuwa ni dereva katika chuo cha CBE Dodoma miaka ya 1986 hivi.
Natamani niweze tu kumfahamu kwani ni muda sasa nimeishi na mama bila kumfahamu yeye, sijui kilitokea nini kati yake na maza maana maza huwa haniambii kabisa kuhusu mzee na hilo jina tu nmelipata kwa baadhi ya ndugu zangu upande wa mama.
Tafadhari kama kuna mtu anakuwa na a,b,c zake za Mr. Jumanne hasa hasa kwa yeyote aliefanya naye kazi chuo cha CBE Dodoma miaka hyo ya 1986 naomba anitaarifu kwa dm.
Nitashukuru saana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Natamani niweze tu kumfahamu kwani ni muda sasa nimeishi na mama bila kumfahamu yeye, sijui kilitokea nini kati yake na maza maana maza huwa haniambii kabisa kuhusu mzee na hilo jina tu nmelipata kwa baadhi ya ndugu zangu upande wa mama.
Tafadhari kama kuna mtu anakuwa na a,b,c zake za Mr. Jumanne hasa hasa kwa yeyote aliefanya naye kazi chuo cha CBE Dodoma miaka hyo ya 1986 naomba anitaarifu kwa dm.
Nitashukuru saana.
Sent using Jamii Forums mobile app