alaa...hii serikali wazanzibari wanayotamba nayo kuwa ya umoja wa kitaifa kumbe ina watu nane tu kutoka CUF?anasema watu wa cuf wanaoshiriki kwenye umoja wa kitaifa zanzibar ni watu 8 tu. anasema ni mawaziri 7 na seif. Rakini ngazi za chini , masheha, wakuu wa wilaya ,mikoa hamna mtu wa cuf hata mmoja.
anasema sisi tulitaka tuitwae zanzibar halafu tuje bara. lakini seif hakufanya hivyo. lakini hamad alipo anza kupiga kelele ndo seif akaanza kufanya ziara bara.
hahahahaha... for all we know, yeye bado ni Mbunge wa Wawi, na huwi Mbunge bila chama, and the last time we checked your party was CUF! I agree.....hamad rashid bado yupo cuf ambacho sisi tunaona ni kichafu kwa hiyo na yeye ni mchafu kwa kuwa bado yupo cuf mbunge wa wawi.
Siyo kwamba chips zilikuwa hazilipi?katibu anaendelea kusema: nia ya miraj ilikuwa kumtetea mtanzania sio kujitajilisha ndo maana kaacha mshahara kaenda kutengeneza chips. sasa baada ya kuona chama kinaporomoka ikabidi tutafute mbadala wa chama kama kimbilio.
Prof.ripumba kama anakosa ni kosa la udhaifu wa kuto wakemea hawa watendaji lakini ripumba hana matatizo.