Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii chuki sio ya kidini wala kikabila. Ni chuki ya kutowajibika, wizi, upendeleo, matumizi mabaya, na tofauti ya maskini na tajiri.
Niko namsikiliza nisiyemtambua na kumpenda. Simkubali na kumjali. Namsikiliza huku nakitamani kurushia chupa hii TV. Kweli zama zenu CCM ziko ukingoni. Sasa na huyo mama Spika alikuwa ananikera toka naibu. Naionea huruma TV yangu.
Poleni wana JF wote tunaokerwa na huyu bin-dam, japo kuwa bado nipo oficini nasikia kuchefukwa roho, ningekuwa home ningetapika, vp CHADEMA wapo mjengoni? Taarifa tafadhali:israel:
Ghadhabu yangu nazani inawazidi nyie wooote...maaana huyu kilaza anaongea vitu bila fikira (ana ufinyu wa fikira). Most of the time huwa napima mazungumzo ya kikwete na nimegundua kwamba huyu jamaa ana ufinyu wa fikira....Hebu Ona alichosema hapa
'Tumefanya vizuri sana upande wa michezo,tumeleta makocha wa kizungu kufundisha timu zetu..'...Hivi kweli michezo ni mpira tu ? hapa issue ni kuweka policy nzuri kuhakikisha michezo yoote inainuka.....Hii ni akili mgando kabisa....
Wametoka nje......Niko happy na TV nimezimilia mbali huko....inanichefua....
Ghadhabu yangu nazani inawazidi nyie wooote...maaana huyu kilaza anaongea vitu bila fikira (ana ufinyu wa fikira). Most of the time huwa napima mazungumzo ya kikwete na nimegundua kwamba huyu jamaa ana ufinyu wa fikira....Hebu Ona alichosema hapa
'Tumefanya vizuri sana upande wa michezo,tumeleta makocha wa kizungu kufundisha timu zetu..'...Hivi kweli michezo ni mpira tu ? hapa issue ni kuweka policy nzuri kuhakikisha michezo yoote inainuka.....Hii ni akili mgando kabisa....