tanzanitemusiba
Senior Member
- Nov 2, 2018
- 137
- 90
Mambo mengi niliyoyapanga hayajafanikiwa kwa sababu umenipa AFYA njema nimeyahamishia mwakani, TUJIFUNZE KUSHUKURU KILA JAMBO SIO KAZI KULALAMIKA TU KAMA VICHAAA
Panga mipango ya miaka 1000 hata ukufa andika wengine wataendeleza usiache kujipangia mambo mazuri kwa sababu ya kufa vinginevyo umeaza kukata tamaaa kkMkuu Mwaka bado haujakwisha mzee....
Dakika moja kwa binadam si nyingi kupoteza kila kitu kwa maisha ya saivi, hata uhai.
Subiri uvuke kwanza ndipo ushukuru mzee
Mwaka bado haujaisha ndo kwanza tareh 18Mambo mengi niliyoyapanga hayajafanikiwa kwa sababu umenipa AFYA njema nimeyahamishia mwakani, TUJIFUNZE KUSHUKURU KILA JAMBO SIO KAZI KULALAMIKA TU KAMA VICHAAA
Mambo mengi niliyoyapanga hayajafanikiwa kwa sababu umenipa AFYA njema nimeyahamishia mwakani, TUJIFUNZE KUSHUKURU KILA JAMBO SIO KAZI KULALAMIKA TU KAMA VICHAAA
Utayaamisha mpk uote sugu za makalio, usoMambo mengi niliyoyapanga hayajafanikiwa kwa sababu umenipa AFYA njema nimeyahamishia mwakani, TUJIFUNZE KUSHUKURU KILA JAMBO SIO KAZI KULALAMIKA TU KAMA VICHAAA
Huu ugonjwa wa Akili ukiufanyia masihara, hakika 2019 utaokota makopo.Mambo mengi niliyoyapanga hayajafanikiwa kwa sababu umenipa AFYA njema nimeyahamishia mwakani, TUJIFUNZE KUSHUKURU KILA JAMBO SIO KAZI KULALAMIKA TU KAMA VICHAAA
Krbu mtaani lkn uwe RAIA Mwema sasa!!Aisee ni jambo la kumshukuru sana Muumba mfano mi mwenyewe nimetoka juzi jela kwa msamaha wa Raisi hivi hapa nnafurahia maisha ya uraiani,Kwa kweli Mungu ni mwema sana.
Unamaanisha niniIvi huyu Musiba mwenye kigazeti cha ajabu
Musiba hawezi kukuelewa yeye yupo mbele siku 14!Mkuu Mwaka bado haujakwisha mzee....
Dakika moja kwa binadam si nyingi kupoteza kila kitu kwa maisha ya saivi, hata uhai.
Subiri uvuke kwanza ndipo ushukuru mzee
Mwaka huu kwangu ovyo maana bado jamaa hawaja toa vibali vile vya mambo yetu!Mambo mengi niliyoyapanga hayajafanikiwa kwa sababu umenipa AFYA njema nimeyahamishia mwakani, TUJIFUNZE KUSHUKURU KILA JAMBO SIO KAZI KULALAMIKA TU KAMA VICHAAA