Nancy Tweed
Senior Member
- Nov 22, 2010
- 123
- 3
kwa kuangalia haraka haraka tuu, kama watu wengi wa humu ndiyo wamesoma udsm, kweli kazi ipo huko nyumbani.
kwa kuangalia haraka haraka tuu, kama watu wengi wa humu ndiyo wamesoma udsm, kweli kazi ipo huko nyumbani.
kwa kuangalia haraka haraka tuu, kama watu wengi wa humu ndiyo wamesoma udsm, kweli kazi ipo huko nyumbani.
kwa kuangalia haraka haraka tuu, kama watu wengi wa humu ndiyo wamesoma udsm, kweli kazi ipo huko nyumbani.
kwa kuangalia haraka haraka tuu, kama watu wengi wa humu ndiyo wamesoma udsm, kweli kazi ipo huko nyumbani.
Unaweza kuwa specific Dada Nancy ?
UDSM pamechoka, tulishawahi kuchambua maandishi kutoka tovuti yao hata mtoto anayeenda hizi English Medium schools na kurudi nyumbani kufuatilia CNN kwa makini hawezi kuandika vile.
Lakini still, madai yako umeyatoa kirejareja mno kupita bila kuulizwa ujieleze zaidi.
kwa kuangalia haraka haraka tuu, kama watu wengi wa humu ndiyo wamesoma udsm, kweli kazi ipo huko nyumbani.
kwa kuangalia haraka haraka tuu, kama watu wengi wa humu ndiyo wamesoma udsm, kweli kazi ipo huko nyumbani.
namshukuru sana mungu nimesoma udsm....dada huwezi kuijua udsm na impact yake kwa wahitimu wake kama hukusoma pale hata ujadili hapa mpaka mtondogoo..kalagha bhao!
Ahsanteni kwa mrishonyuma.Hivi umefika hata hapo UDSM penyewe hivi karibuni? Yaani pamechoka utadhani pametelekezwa.....
Mkuu Kiranga mi nafikiri kama ni suala taaluma, Professionalism siyo suala la UDSM tu ni suala la kitaifa. Kushuka kwa ubora wa elimu, kukosa mipango endelevu katika nyanja mbalimbali za elimu na mambo kama hayo. Isitoshe muundo mzima wa elimu hapa nchini ni tatizo toka shule za awali mpaka vyuo vikuu hili mi nafikiri ndio tatizo kubwa.
Hivi umefika hata hapo UDSM penyewe hivi karibuni? Yaani pamechoka utadhani pametelekezwa.....
Nyani Ngabu...UDSM pamechoka kwa majengo? Kama hoja yako ni majengo sidhani kama ni tija kama wanachuo wanapata taaluma iliyowapeleka chuoni.
"Miafrika Ndivyo Tulivyo-by Nyani Ngabu"
Nancy ,
Tofauti yako wewe na yule aliyesoma UDSM ni nini? Kwanza sentensi yako uliyoandika hapo juu inaonyesha dhahiri ya kuwa hujui unachoongea. Umeanza kuandika bila ya kufuata sheria zozote za uandishi sanifu; unaandika Mungu bila ya kuanza na herufi kubwa, UDSM unaandika kwa herufi ndogo yaani ni vichekesho tuu. Mikato unaiweka tuu ovyo ovyo bila ya kufuata mtitiriko. Mimi nakushauri ndungu yangu kama huko nje ya nchi basi rudi shule kwani sentensi yako hapo juu speaks volume about your level of understanding.