mmbangifingi
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 2,839
- 559
Nzuri,,unafuata nyayo za Thomas Nyimbo Ilembula kule,this way CDM na sumu ya mabadiliko kwa ujumla itasambaaa sana
Kweli watu wana hasira, mpaka siku mmeshaanza kuhesabu!!Hongera kamanda, tutafika viva chadema zimebakia siku 1000 tuingie magogoni
Wewe ndio kamanda, wewe ndio M4C. Viva.