Lyatuu the Great
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 212
- 85
Namshukuru sana Mungu kwa kuniokoa na ajali mbaya sana ya gari kugongana na lori na halikusimama kabisa likakimbia. Hakika nimeuona upendo wa Mungu kwangu. Niko naendelea na Matibabu.ninasikitika sana baada ya ajali vibaka kama 9 wakavamia gari langu na kuanza kuiba vitu usiku huo betri,rejeta hadi matairi. Nashukuru kwa ushauri niliopewa na kaka yangu Bro. Ronald Lyatuu wa kukaa mbali na gari kwani wangeniua vibaka wale wangenikuta kwenye gari.