kapotolo
JF-Expert Member
- Sep 19, 2010
- 3,727
- 2,214
waziri mkuu mstaafu F. Sumaye amezungumzia mambo mengi yanayoigusa jamii, mojawapo ni kumshukuru mnyika kwa kupeleka hoja ya katiba mpya bungeni, pia amezungumzia Dowans na kuwaunga mkono akina Sitta kwamba wana haki ya kuzungumzia hilo hadharani kwa kuwa halikupelekwa katika kikao cha baraza la mawaziri.
TBC1 Habari
TBC1 Habari