Alizoea kula za kunyonga za kuchinja hawezi!Kifupi sabaya ni zero empty na hakuna future Wala connection kuwa Nate. Yule mwanamama wake ni mlimbwende na bado Ana ndoto na maono makubwa aachane na sabaya ; sabaya ameshafeli maisha ni zero set aachane nae aolewe na mwanaume mwenye future.
Wacha watimize matakwa yao. Jiwe alitaka wasaliti wasiishi. Where is he now ?!Right mngejua mnaandaliwa kumwaga mapipa ya machozi na simanzi hapo mbeleni mngerudi shule mjifunze kusoma alama za Nyakati.
Wanawake unawajua wewe.Atamtunzaje sasa akiwa jela.Kesho tu ashamsahau analiwaza na mwingine.Kifupi sabaya ni zero empty na hakuna future Wala connection kuwa Nate. Yule mwanamama wake ni mlimbwende na bado Ana ndoto na maono makubwa aachane na sabaya ; sabaya ameshafeli maisha ni zero set aachane nae aolewe na mwanaume mwenye future.
Kuna lile takataka lao lilisema wasaliti wauwawe,eti kupinga mawazo ya mtoa riziki wao ni usaliti.Wacha watimize matakwa yao. Jiwe alitaka wasaliti wasiishi. Where is he now ?!
Yana mwisho . Kina Amin, Mobutu , Bokassa etc leo watu hawataki hata ubin wao
Bora utulie tu, siasa ni mchezoWacha watimize matakwa yao. Jiwe alitaka wasaliti wasiishi. Where is he now ?!
Yana mwisho . Kina Amin, Mobutu , Bokassa etc leo watu hawataki hata ubin wao
Akitoka hatokuwa hata na nguvu za kupiga mshindo' , dhaifu na atakuwa hayupo sawa kisaikolojia.nikitoka jela, huyo aliyemuoa mchumba wangu ahame sayari
Jipe tu maneno ya matumaini, ila ndio imetoka hiyo!Bora utulie tu, siasa ni mchezo
Kaolewe wewe mkuuHuenda akashinda rufani na kurudi uraiani. Ila ndoa huvurugika sana tu mwanandoa mmoja anapokosekana kwa muda mrefu nafasi yake hujazwa na mwingine kwa siri au kwa uwazi, rasmi na isivyo rasmi. Huyo mama asilani hataweza kusubiri mpaka miaka 30 bila hitaji la kindoa haiwezekani labda kama ana nadhiri ya kuishi maisha ya kutofanya jambo hilo mpaka mume wake atoke jela