Kanali_
JF-Expert Member
- Nov 18, 2018
- 4,805
- 7,321
Hii tabia iliwahi kuniletea shida kubwa na wife. Tuliletewa house girl mtoto wa Kihaya shuzi hiloo wife akamkataa!!! Niliforce lakini wapi, mwisho wa siku wife alimkatia tiketi akamrudisha kwao! House girl aliyemleta nashindwa hata kumuelezea maana ntaonekana namkosoa Mungu.Wakuu habari zenu.
Nimekuwa nikimshangaa sana mke wangu kila tunapohitaji house girl anataka awe na sura mbaya na mwenye umbo lisilo na mfano na mara zote huwa najaribu kumuuliza ni kwa nini lakini majibu yake hayana mashiko.
Yapata wiki mbili sasa mdada wetu wa kazi ambaye tulikuwa nae kwa miaka mitatu ameomba aende nyumbani kwao. Sasa tuna mchakato wa kupata binti mwingine wa kazi, cha kuvutia kila mdada tunaeletewa ni mrembo kwelikweli. Kwa tabia za mke wangu anaishia kuwakataa wakati mimi moyo unaniuma kuona mke wangu anavyosurubika na mikazi yote home pekee yake, hadi siku zingine mpaka naona hata aibu kuomba chakula cha usiku.
Sasa naomba ushauri wenu, nimwache tu apambane na mikazi mwenyewe japo hili lisilipendi sana nishasema linanicost ktk game night, au nimshurutishe awakubali hao warembo wanaoletwa japo hili moyo wake haupendi.
Vilevile ningependa kujua kutoka kwa wanaume wenzangu, hii ni kwa mke wangu tu au na kwenu?. Vilvile wanawake wa Jf nisaidieni, kwenu ikoje au mke wangu ana tatizo la kipekee?