Namshangaa Raisi Kikwete kwenye kuwahamisha watu wa mabondeni!!

nitonye

JF-Expert Member
Dec 18, 2011
7,273
3,750
Hivi huyu mzee wa magogoni huwa anafikiriaga kwanza kabla ya kutoa kauili maana hii kauli si ngeni masikioni mwangu kila maafa ya mafuriko yanapotokea katika mkoa huu, na kwa nini asiwawajibishe watendaji wake wanaotoa vibali vya kujenga pamoja na watu wa tanesco anabaki kulalama kama mwananchi wa kawaida, halafu anazungumzia watu wa mabondeni je na miundombinu mibovu mbona hakuizungumzia, mimi katika hili namshanagaa kwa kweli
 
Hivi huyu mzee wa magogoni huwa anafikiriaga kwanza kabla ya kutoa kauili maana hii kauli si ngeni masikioni mwangu kila maafa ya mafuriko yanapotokea katika mkoa huu, na kwa nini asiwawajibishe watendaji wake wanaotoa vibali vya kujenga pamoja na watu wa tanesco anabaki kulalama kama mwananchi wa kawaida, halafu anazungumzia watu wa mabondeni je na miundombinu mibovu mbona hakuizungumzia, mimi katika hili namshanagaa kwa kweli

jambo la kushangaza,nchi ipo matatizoni kweli!!!!mtu anapata muda wa kwenda kula bata serengeti!!!!bora mafuriko yamemuumbua na bata zake!!!!!
 
Hivi huyu mzee wa magogoni huwa anafikiriaga kwanza kabla ya kutoa kauili maana hii kauli si ngeni masikioni mwangu kila maafa ya mafuriko yanapotokea katika mkoa huu, na kwa nini asiwawajibishe watendaji wake wanaotoa vibali vya kujenga pamoja na watu wa tanesco anabaki kulalama kama mwananchi wa kawaida, halafu anazungumzia watu wa mabondeni je na miundombinu mibovu mbona hakuizungumzia, mimi katika hili namshanagaa kwa kweli

Kwa taarifa tu , wale watu mfano wa jangwani pale hawajajenga kwa vibali walivamia tu Yale maeneo ... Kuna kipindi walitaka kuhamishwa wakagoma kwamba maeneo waliyopewa ni mbali sana .... Sasa sijui mnataka jk huyu afanye nini ili mridhike .. ametembea dar na mikoa mingine iliyopata majanga mnakuja na uzi eti yupo vacations.. bado ...
 
Kwa taarifa tu , wale watu mfano wa jangwani pale hawajajenga kwa vibali walivamia tu Yale maeneo ... Kuna kipindi walitaka kuhamishwa wakagoma kwamba maeneo waliyopewa ni mbali sana .... Sasa sijui mnataka jk huyu afanye nini ili mridhike .. ametembea dar na mikoa mingine iliyopata majanga mnakuja na uzi eti yupo vacations.. bado ...

hatuzumngumziii JK kama yeye tunamzungumzia kama serikali bana! sasa serikali imeshindwa kuwaondoa watu mabondeni??
Vp na hao matajili waliojenga magereji yao kwenye mikondo ya maji hata kama nikuitetea serikali tuwe reasonable kidogo tuu!
 
Kwa taarifa tu , wale watu mfano wa jangwani pale hawajajenga kwa vibali walivamia tu Yale maeneo ... Kuna kipindi walitaka kuhamishwa wakagoma kwamba maeneo waliyopewa ni mbali sana .... Sasa sijui mnataka jk huyu afanye nini ili mridhike .. ametembea dar na mikoa mingine iliyopata majanga mnakuja na uzi eti yupo vacations.. bado ...
...wakivamia mashamba yake au mali zake na wakagoma kuondoka atawaacha?!
 
Kwa taarifa tu , wale watu mfano wa jangwani pale hawajajenga kwa vibali walivamia tu Yale maeneo ... Kuna kipindi walitaka kuhamishwa wakagoma kwamba maeneo waliyopewa ni mbali sana .... Sasa sijui mnataka jk huyu afanye nini ili mridhike .. ametembea dar na mikoa mingine iliyopata majanga mnakuja na uzi eti yupo vacations.. bado ...
Kwa hiyo mtoto akikosea, akataka kuchapwa akagoma anaachwa!!

Mimi bado namlaumu kwa nini asistick kwenye sheria?? Maeneo yale hayarihusiwi kujengwa, watu wameambiwa, na wakapewa viwanja vinginen anayekataa viwanja vile basi alitakiwa kupewa ultimatum ya muda maalumu atafute kiwanja ahame, haijalishi ataendajenga mbele ya ikulu au police but jangwani ahame.
 
Kwa taarifa tu , wale watu mfano wa jangwani pale hawajajenga kwa vibali walivamia tu Yale maeneo ... Kuna kipindi walitaka kuhamishwa wakagoma kwamba maeneo waliyopewa ni mbali sana .... Sasa sijui mnataka jk huyu afanye nini ili mridhike .. ametembea dar na mikoa mingine iliyopata majanga mnakuja na uzi eti yupo vacations.. bado ...
Kwa hiyo walipogoma na serikali ikanywea.... serikali legelege...
 
Back
Top Bottom