nitonye
JF-Expert Member
- Dec 18, 2011
- 7,273
- 3,750
Hivi huyu mzee wa magogoni huwa anafikiriaga kwanza kabla ya kutoa kauili maana hii kauli si ngeni masikioni mwangu kila maafa ya mafuriko yanapotokea katika mkoa huu, na kwa nini asiwawajibishe watendaji wake wanaotoa vibali vya kujenga pamoja na watu wa tanesco anabaki kulalama kama mwananchi wa kawaida, halafu anazungumzia watu wa mabondeni je na miundombinu mibovu mbona hakuizungumzia, mimi katika hili namshanagaa kwa kweli