kamonga
Senior Member
- Feb 13, 2008
- 170
- 33
Nakiri hadharani kwamba sijaelewa sehemu kubwa ya hotuoba ya rais ya mwisho wa mezi huu. katika haya yalionigusa na kufanya niandike hapa ni yafuatayo:-
Rais amedai kua kuna watoto ambao bado hawajatambuliwa na wazazi wao (idadi sijanukuu kwa nina imani ni mchakachuaji) ila nina jiuliza what is the plausible explanation for parents not to identify their children? UNLESS they themselves are not alive!!!!
narudia hivi kuna mzazi ambaye mpaka ss hajui mtoto wake alipo na nasumbuka kutafuta? au wazazi hao pia wamekufa? au ndo kuchakachuliwa kwa idadi kamili ya walio kufa. mimi binafsi hainiingii akilini, tena nashangaa sana!!!
wanajamii mnisaidie nilielewe hili.
Rais amedai kua kuna watoto ambao bado hawajatambuliwa na wazazi wao (idadi sijanukuu kwa nina imani ni mchakachuaji) ila nina jiuliza what is the plausible explanation for parents not to identify their children? UNLESS they themselves are not alive!!!!
narudia hivi kuna mzazi ambaye mpaka ss hajui mtoto wake alipo na nasumbuka kutafuta? au wazazi hao pia wamekufa? au ndo kuchakachuliwa kwa idadi kamili ya walio kufa. mimi binafsi hainiingii akilini, tena nashangaa sana!!!
wanajamii mnisaidie nilielewe hili.