Namshangaa prf.lipumba......jamani wasomi ebu tutafakali wote

NAAMINI

JF-Expert Member
Oct 14, 2013
672
231
Chadema na siasa za unafki na uzandiki. Pole
sana le professor Lipumba kwa kuwa akili yako
ni sawa na ya panzi. Ni mwaka tuu tangia uitwe wewe ni shoga na
Ezekiel wanje tena kwenye chombo chenye hadhi
na kinachotazamwa na watanzania wote BUNGE. Mlijifanya kuleta fujo na kodi za wananchi mkazila
bure leo umedhiirisha kuwa nyie (chadema na
cuf) ni washiriki wa ndoa ya jinsia moja kitendo
chenu cha kuungana bila kufuta tofauti hizi
kunatuchanganya. Nimnukuu wanje "CCM wao mrengo wao ni wa
KUSHOTO, CHADEMA wao mrengo wao ni wa KATI
democratic, CUF ni MALIBERAL watu wanaoamini
katika ushoga na usagaji" si maneno yangu
angalia hapa.
 
Chadema na siasa za unafki na uzandiki. Pole
sana le professor Lipumba kwa kuwa akili yako
ni sawa na ya panzi. Ni mwaka tuu tangia uitwe wewe ni shoga na
Ezekiel wanje tena kwenye chombo chenye hadhi
na kinachotazamwa na watanzania wote BUNGE. Mlijifanya kuleta fujo na kodi za wananchi mkazila
bure leo umedhiirisha kuwa nyie (chadema na
cuf) ni washiriki wa ndoa ya jinsia moja kitendo
chenu cha kuungana bila kufuta tofauti hizi
kunatuchanganya. Nimnukuu wanje "CCM wao mrengo wao ni wa
KUSHOTO, CHADEMA wao mrengo wao ni wa KATI
democratic, CUF ni MALIBERAL watu wanaoamini
katika ushoga na usagaji" si maneno yangu
angalia hapa.

fafanua vzr ueleweke nahic jf umekuja kwa gari la mkaa hujui chchte hili jukwaa ni la elimu cyo siasa
 
wanamacho hawaoni na wanamasikio hawasikii....endeleeni kuwa wajinga na wakati ujumbe unajielezea...naona mapovu mengi tu bila kuwa na hoja
 
fafanua vzr ueleweke nahic jf umekuja kwa gari la mkaa hujui chchte hili jukwaa ni la elimu cyo siasa

nashukuru wewe uliekuja kwa morano.....kichwa kigumu kuelewa au ndo division five...au nenda jeshini mana mtaani kushawashinda
 
Chadema na siasa za unafki na uzandiki. Pole
sana le professor Lipumba kwa kuwa akili yako
ni sawa na ya panzi.
Ni mwaka tuu tangia uitwe wewe ni shoga na
Ezekiel wanje tena kwenye chombo chenye hadhi
na kinachotazamwa na watanzania wote BUNGE. Mlijifanya kuleta fujo na kodi za wananchi mkazila
bure leo umedhiirisha kuwa nyie (chadema na
cuf) ni washiriki wa ndoa ya jinsia moja kitendo
chenu cha kuungana bila kufuta tofauti hizi
kunatuchanganya. Nimnukuu wanje "CCM wao mrengo wao ni wa
KUSHOTO, CHADEMA wao mrengo wao ni wa KATI
democratic, CUF ni MALIBERAL watu wanaoamini
katika ushoga na usagaji" si maneno yangu
angalia hapa.


Thread bado haijielewi elewi hii !
Imekaa kinafiki sana !

Mpaka chama chako mwandishi tumeishakijua !
 
nashukuru wewe uliekuja kwa morano.....kichwa kigumu kuelewa au ndo division five...au nenda jeshini mana mtaani kushawashinda

hahahahahaha nlikuja kwa baiskeli div 5 siijui vzr coz 2007 ndo nlimaliza 4m4 kwa saiv utajua mwenyewe niko wapi. Ila huku hatujadili siasa coz ina forum yake
 
hahahahahaha nlikuja kwa baiskeli div 5 siijui vzr coz 2007 ndo nlimaliza 4m4 kwa saiv utajua mwenyewe niko wapi. Ila huku hatujadili siasa coz ina forum yake

kumbe ni mdogo wangu hivyo....mm form 4 2005 nilikuwa moja ya seminari zilizofanya vizuri miaka hiyo na hadi leo bado inafanya vizuri...unaweza ukajua tu kwa sasa nitakuwa wapi
 
kwani pro Lipumba amekosea wapi?, kuungana na wanaotetea katiba ya wananchi ndio useme amekuwa panzi?...kweli
lakini nadhani panzia ni wewe. ambaye umeanzisha thread ya kijinga
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom