nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,769
Alichokiongea majuzi kilikuwa dhahiri kabisa, kwamba Hitler na Mussolini wanaonewa na historia na kwamba walifanya mazuri sana tena akaweka na kebehi kwa Jews
Huyu mzee inaonekana hata wasouth africa walivyokuwa wanapambana alikuwa anawaona washamba sana kwamba wanahangaika ya nini ilihali wanajengewa mahospitali na barabara
Na report kwa organisations zinashoghulika na ANTI SEMITISM kumhusu huyu Cardinal wa Tanzania catholic church anaye sympathise na Adolf Hitler na Mussolin
Pesa za burebure zimewalevya sana hawa watu,they are clueless and totally out of touch
Naanza na email kwenda kwa OPHIR REVACH anisaidie ku spread dunian kote wajue KWAMBA CARDINAL PENGO NI MFUASI WA HITLER NA MUSSOLINI
updated: subtitled video ya mzee pengo
Huyu mzee inaonekana hata wasouth africa walivyokuwa wanapambana alikuwa anawaona washamba sana kwamba wanahangaika ya nini ilihali wanajengewa mahospitali na barabara
Na report kwa organisations zinashoghulika na ANTI SEMITISM kumhusu huyu Cardinal wa Tanzania catholic church anaye sympathise na Adolf Hitler na Mussolin
Pesa za burebure zimewalevya sana hawa watu,they are clueless and totally out of touch
Naanza na email kwenda kwa OPHIR REVACH anisaidie ku spread dunian kote wajue KWAMBA CARDINAL PENGO NI MFUASI WA HITLER NA MUSSOLINI
updated: subtitled video ya mzee pengo