Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 49,643
- 68,586
Nimekupata vizuri hata me nimeona hakuna sehemu ambayo mtoto wake katukanwa hapa zari kateleza nazani Ni yeye binafsi ndo kaguswa.Kwa Hili ajafanya fair kabisa kumuingiza mtoto kwenye mambo ya mtandaoni sio vizuri kabisa.
we ngoja kakue atafuta maneno yake na wambea kwa kutunza video hawajambo