Nampongeza Zari The Boss kwenye hili

Hapana watu kama wewe mmezidi, umbea umbea tu dhidi ya mtu ambaye hana hata habari nanyi. Kama si ukisebengo nini.

sina comment ya kukufurahisha hapa
Na usinipangie hutaki kamlambe makalio huyo bi tukinao
Afu quote hao team yake watakufurahisha
 
we nae pita hivii
Imekuuma kanye boga
Ukiona maisha yake binafsi yanakuudhi, ni rahisi tu. Saga chupa, koroga kwny maji kisha unywe. Chuki, wivu na husda vitakuishia. Unawezaje kuwaita watoto wa mwenzio eti majambazi? Eboo !!
 
Ni kweli, mimi sishabikii team yyte lakin Zari ana dharau mno na sio kwa Watanzania tu, ndio mana kwao UG wanamchukia.. Kama uliwahi kuona video flani ilitrend Instagram nadhani mwaka juzi au jana, Zari alikua mmoja wa Host kwenye Event flani UG, yule host mwenzie alimwomba Zari atangaze mshindi na Zari akamjibu kwa dharau "Hio sio kazi yangu mimi kusoma makaratasi bali ww" akamtupia ile karatasi kwa dharau huku akiroll macho yake, watu wengi walichukia kitendo chake.

Yap aliaibika kweli ashukuru tz imempa umaarufu
 
Hivi karibuni Mwanamama zari the boss lady ametoa povu kubwa kwa baadhi ya watanzania wanaomfuatilia Sana maisha yake ingawa Zari ana mapungufu yake binafsi lakini kwa Hili povu aliyotoa nimemuunga mkono kwa asilimia 100 Na hii imekuja baada ya tetesi ya yeye kurudiana na diamond lakini pia kwa kuzungumziwa vibaya mwanaye Tiffah nimnukuu baadhi ya maneno aliyoongea

"Nikiwa ninaambiwa Niko desperate Mara nawatumia watoto kurudiana na diamond hivi nikirudiana nae Nini kinachofanya mteseke? Kuna wengine wana nionea wivu kwa Sababu me ni rich wakati wao ni masikini wanauza nyanya vitunguu uko, me ni mwanamke mzuri wakati wao wanasura mbaya,una kuta mtu ana vocha ya 100 anawasha hotspot kwa wenzake 7 wanalala kwenye godoro moja alafu wanakuja kunitukana Mimi ambaye ninatoka kwangu Nina gari Kali naenda ofisini"

Akaongeza pia sijawahi kuona mtu mwenye Mafanikio anamchukia mtu mwingine mwenye Mafanikio Mara nyingi watu wenye wivu ambao Ni masikini ndio wanachukiwa watu matajiri Leo hii siwezi Mimi zari kutoka Africa eti nimchukie Oprah wa Marekani hata nikimchukia ninapata faida gani? Kwani itamzuia yeye asipate Mafanikio? Aliyepewa kapewa tu watanzania wanatakiwa wawe inspired badala ya kuwa na chuki.

NB: Hili suala la wivu alilolizungumzia Zari ndio tabia halisi walionalo Watanzania Jana wakati nimepanda daladala naenda sehemu fulani mbele la daladala niliyopata kulikuwa na mark x dereva wa hiyo gari alikuwa anaendesha taratibu dereva wa daladala niliyopanda akasema Hawa wakishapata vigari vyao vya mkopo wanatusumbua Sana barabarani imagine unakuta huyo dereva hata tu baskeli Hana alafu anaongea kauli Kama hizo sijui watanzania tuna shida gani? sometimes ndo maana watu hawapati Mafanikio kutokana na hizi tabia.

Numbisa Leo naona meno nje
Yuko sawa lakini pia kaongea kwa mbwembwe..hekima ya kumjibu mpumbavu ni kukaa kimya na kusonga mbele
 
Warudiane tu walikuwa wanapendeza sana kama couple. Na DP hatapata mwanamke mzuri na mwenye akili ya maisha kama Zari. Pia itakuwa ni vizuri kurudiana kwa ajili ya watoto wao.



Hivi karibuni Mwanamama zari the boss lady ametoa povu kubwa kwa baadhi ya watanzania wanaomfuatilia Sana maisha yake ingawa Zari ana mapungufu yake binafsi lakini kwa Hili povu aliyotoa nimemuunga mkono kwa asilimia 100 Na hii imekuja baada ya tetesi ya yeye kurudiana na diamond lakini pia kwa kuzungumziwa vibaya mwanaye Tiffah nimnukuu baadhi ya maneno aliyoongea

"Nikiwa ninaambiwa Niko desperate Mara nawatumia watoto kurudiana na diamond hivi nikirudiana nae Nini kinachofanya mteseke? Kuna wengine wana nionea wivu kwa Sababu me ni rich wakati wao ni masikini wanauza nyanya vitunguu uko, me ni mwanamke mzuri wakati wao wanasura mbaya,una kuta mtu ana vocha ya 100 anawasha hotspot kwa wenzake 7 wanalala kwenye godoro moja alafu wanakuja kunitukana Mimi ambaye ninatoka kwangu Nina gari Kali naenda ofisini"

Akaongeza pia sijawahi kuona mtu mwenye Mafanikio anamchukia mtu mwingine mwenye Mafanikio Mara nyingi watu wenye wivu ambao Ni masikini ndio wanachukiwa watu matajiri Leo hii siwezi Mimi zari kutoka Africa eti nimchukie Oprah wa Marekani hata nikimchukia ninapata faida gani? Kwani itamzuia yeye asipate Mafanikio? Aliyepewa kapewa tu watanzania wanatakiwa wawe inspired badala ya kuwa na chuki.

NB: Hili suala la wivu alilolizungumzia Zari ndio tabia halisi walionalo Watanzania Jana wakati nimepanda daladala naenda sehemu fulani mbele la daladala niliyopata kulikuwa na mark x dereva wa hiyo gari alikuwa anaendesha taratibu dereva wa daladala niliyopanda akasema Hawa wakishapata vigari vyao vya mkopo wanatusumbua Sana barabarani imagine unakuta huyo dereva hata tu baskeli Hana alafu anaongea kauli Kama hizo sijui watanzania tuna shida gani? sometimes ndo maana watu hawapati Mafanikio kutokana na hizi tabia.

Numbisa Leo naona meno nje
 
😂😂😂😂😂😂😂
Haya bwana nadhani umeng'amua ukweli ndio maana umecheka. Haya maisha ni mafupi haipendezi kuwapa watu wengine stress/msongo wa mawazo. Kila mtu ana haki ya kuvuta hewa tuliyopewa na mwenyezi Mungu kwa amani.
 
Haya bwana nadhani umeng'amua ukweli ndio maana umecheka. Haya maisha ni mafupi haipendezi kuwapa watu wengine stress/msongo wa mawazo. Kila mtu ana haki ya kuvuta hewa tuliyopewa na mwenyezi Mungu kwa amani.

Nimecheka sanaa aisee
Ungenitafutia ban weweee na sitaki ban
 
  • Kicheko
Reactions: BAK
Huyo mwanamke angekuwa mzuri kama mke wangu, angekuwa na pesa kama...., angekuwa na elimu kama..., nadhani angetamba sana.

NB:Asiseme watanzania anakuwa ameattack kundi kubwa sana,watz wengene hatuna ata shobo na life lake, afu ajue kabisa hapa tz, kuna watu wana maisha mazuri, warembo, pesa chafu, na watoto wazuri pengine kuliko hata hao wake, ila basi tu hawakuwahi taka kuruka mbele ya camera na hiyo mitandao ambayo mwishowe hata yeye ameshindwa kuihimili.
 
Back
Top Bottom