Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,508
- 23,709
Huyu mzee wa historia ni mtu asiyekata tamaa. Naangalia Jukwaa la Historia kwa siku sikosi kuona threads zake mpaka mbili au tatu.
Pamoja na vijana wengi kwa ujivuni wao wanaonekana kutochangia mada zake badala yake wanaenda kujazana mwenye jukwaa la MMU Mzee hajakata tamaa.
Nampongeza kwa kuwa pamoja na kubezwa wakati mwingine huwa hajazibiki badala yake huendelea kushuka mistari tu.huyu ni nyani mzee amekwepa mishale mingi.
Utakuta mzee wa watu kashuka madini ila walio comment 3. This isnt fair.watanzania acheni unafiki. Mnataka akifa ndo mje mseme alikuwa anatia madini sana.
Yaani uzi wa Zero Q unapata comments za kumwaga mpaka pages 200 au ile ya Kula tunda kimasikhara inafika pages 1000+ ila harakati za Mzee wangu said nobody gives a shit.
Mods muwe mnalazimisha watu wachangie mada zake.
😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁
Pamoja na vijana wengi kwa ujivuni wao wanaonekana kutochangia mada zake badala yake wanaenda kujazana mwenye jukwaa la MMU Mzee hajakata tamaa.
Nampongeza kwa kuwa pamoja na kubezwa wakati mwingine huwa hajazibiki badala yake huendelea kushuka mistari tu.huyu ni nyani mzee amekwepa mishale mingi.
Utakuta mzee wa watu kashuka madini ila walio comment 3. This isnt fair.watanzania acheni unafiki. Mnataka akifa ndo mje mseme alikuwa anatia madini sana.
Yaani uzi wa Zero Q unapata comments za kumwaga mpaka pages 200 au ile ya Kula tunda kimasikhara inafika pages 1000+ ila harakati za Mzee wangu said nobody gives a shit.
Mods muwe mnalazimisha watu wachangie mada zake.
😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁