Nampongeza Rais Samia kwa kukubali kuwa Mkuu wa Machifu Tanzania

Baba wa taifa mwalimu Julius Kambalage Nyerere yeye baada ya kupata uhuru alifuta uchifu hapa Tanganyika na Zanzibar lakini leo mama anarudisa historia ya utawala wa kiasili wa babu zetu.

Chifudom na kingdom ndiyo walikuwa viongozi wa siasa hapa Tanganyika na Afrika kwa tendo hili mimi nampa biG apu mama kwa kuonyesha kuwa anauwelewa mkubwa kwani kama ujui ulikotoka uwezi kujua unakokwenda.

Kuwakubali machifu ni kuenzi mila na tamaduni zetu za kiafrika hivyo mama amefanya jambo kubwa na la kihistoria, Machif walisimamia mambo yote kabla ya kuja wageni kutoka Ulapa na Arabia yakiwemo ya kijamii kama mdoa, vyakula, ibada, maombi, heshima, uzalendo, dawa na mengine mengi.

Na sayantifiki profu kuwa babu zetu walikuwa na Mungu nyuma 1900 kurudi nyuma babu zetu waliishi miaka ya kawaida 150 kuendelea.
😂😂😂😂
 
Hatua itayofuata ni kuwapa Machifu wenzake uwezo wa kazi za kijamii na kuwa washauri wakuu wa mipango ya kimkakati itakayo saidia katika kurudisha na kuhudumisha utamaduni mila na desturi za watu wa Tanzania na kuwaelimisha vijana wa kesho kuhusu umuhimu wa kuwa na Utamaduni uliokuwa na miguu!
Hii ni ishara nzuri kutoka kwa Mh. Raisi na ushindi mkubwa kwa watu wa Afrika.

Aluta Continua
 
Hatua itayofuata ni kuwapa Machifu wenzake uwezo wa kazi za kijamii na kuwa washauri wakuu wa mipango ya kimkakati itakayo saidia katika kurudisha na kuhudumisha utamaduni mila na desturi za watu wa Tanzania na kuwaelimisha vijana wa kesho kuhusu umuhimu wa kuwa na Utamaduni uliokuwa na miguu!
Hii ni ishara nzuri kutoka kwa Mh. Raisi na ushindi mkubwa kwa watu wa Afrika.

Aluta Continua
😍
Siempre Chief Hangaya
Siempre JMT


Aluta continua💪
 
Baba wa taifa mwalimu Julius Kambalage Nyerere yeye baada ya kupata uhuru alifuta uchifu hapa Tanganyika na Zanzibar lakini leo mama anarudisa historia ya utawala wa kiasili wa babu zetu.

Chifudom na kingdom ndiyo walikuwa viongozi wa siasa hapa Tanganyika na Afrika kwa tendo hili mimi nampa biG apu mama kwa kuonyesha kuwa anauwelewa mkubwa kwani kama ujui ulikotoka uwezi kujua unakokwenda.

Kuwakubali machifu ni kuenzi mila na tamaduni zetu za kiafrika hivyo mama amefanya jambo kubwa na la kihistoria, Machif walisimamia mambo yote kabla ya kuja wageni kutoka Ulapa na Arabia yakiwemo ya kijamii kama mdoa, vyakula, ibada, maombi, heshima, uzalendo, dawa na mengine mengi.

Na sayantifiki profu kuwa babu zetu walikuwa na Mungu nyuma 1900 kurudi nyuma babu zetu waliishi miaka ya kawaida 150 kuendelea.
Hujaeleweka jazia nyama
 
Mwl. Nyerere enzi za uhai wake ulituasa kuwa umuhimu wa mambo ya ukabila ikijumuisha na hayo ya uchifu yamebakia katika masuala ya kutambika tu. Sijui sasa hata huo uchifu Madam President atautumia sehemu gani!
Matumizi yake yanajulikana maana wewe siyo chifu utamtumbuaje boss wa PPRA wakati aliyekalia kiti cha PPRA ni mshirka wa machifu
 
Kukemea mapepo ni maombi ya vita ambayo yanaweza kuangamiza mapepo na muhusika kama alikuwa anayatumia na kuendelea kuyangangania unless ametubu na kuachana na njia hizo. Machief walimfata ama aliwafuata?
Hujajibu nikichokuuliza, halafu ukichojibu sijakuuliza.

Kwani kukemea mapepo hakuwezi kuendana na kumuombea mtu hekima na ulinzi?

Wewe tatizo lako ni lipi hasa katika maigizo haya?
 
Kuna ukweli kuwa ingekuwa vema itangazwe kuwa ni chief wa eneo walilomsimika. Ingeleta heshima zaidi. Kusema ni wa nchi mzima, wamekosea, yeye ni Raisi wa nchi yote lakini uchief ni wa eneo eneo na kabisa fulani.
Labda kama hao machief wa makabila yote walikaa na ku-deliberate hilo.
Tuwe makini, si kila jambo linamuinua mama yetu. Mengine asifiwe yaishie hukohuko.
 
Hujajibu nikichokuuliza, halafu ukichojibu sijakuuliza.

Kwani kukemea mapepo hakuwezi kuendana na kumuombea mtu hekima na ulinzi?

Wewe tatizo lako ni lipi hasa katika maigizo haya?


Hakuendani Uislamu umekataza shiriki. Ambako ndiko msamiati ushirikina ulipozakiwa.
 
Hakuendani Uislamu umekataza shiriki. Ambako ndiko msamiati ushirikina ulipozakiwa.
Wewe unaelewa kwamba kwa wasioamini Uislamu, Uislamu kwao hao unaweza kuwa shirki?

Kwa nini Uislanu uwe special?

Ushirikina na Uislamu zote ni imani kwenye supernatural powers zisizoweza kuthibitishika, unakubali hilo?
 
Wewe unaelewa kwamba kwa wasioamini Uislamu, Uislamu kwao hao unaweza kuwa shirki?

Kwa nini Uislanu uwe special?

Ushirikina na Uislamu zote ni imani kwenye supernatural powers zisizoweza kuthibitishika, unakubali hilo?

Mh ni muumini wa dini ipi kati ya hizi unazoongelea.
 
Baba wa taifa mwalimu Julius Kambalage Nyerere yeye baada ya kupata uhuru alifuta uchifu hapa Tanganyika na Zanzibar lakini leo mama anarudisa historia ya utawala wa kiasili wa babu zetu.

Chifudom na kingdom ndiyo walikuwa viongozi wa siasa hapa Tanganyika na Afrika kwa tendo hili mimi nampa biG apu mama kwa kuonyesha kuwa anauwelewa mkubwa kwani kama ujui ulikotoka uwezi kujua unakokwenda.

Kuwakubali machifu ni kuenzi mila na tamaduni zetu za kiafrika hivyo mama amefanya jambo kubwa na la kihistoria, Machif walisimamia mambo yote kabla ya kuja wageni kutoka Ulapa na Arabia yakiwemo ya kijamii kama mdoa, vyakula, ibada, maombi, heshima, uzalendo, dawa na mengine mengi.

Na sayantifiki profu kuwa babu zetu walikuwa na Mungu nyuma 1900 kurudi nyuma babu zetu waliishi miaka ya kawaida 150 kuendelea.
SSH Rais ,akasome why walifutwa enzi za mwalim , lengo ulikua nini,??
 
Baba wa taifa mwalimu Julius Kambalage Nyerere yeye baada ya kupata uhuru alifuta uchifu hapa Tanganyika na Zanzibar lakini leo mama anarudisa historia ya utawala wa kiasili wa babu zetu.

Chifudom na kingdom ndiyo walikuwa viongozi wa siasa hapa Tanganyika na Afrika kwa tendo hili mimi nampa biG apu mama kwa kuonyesha kuwa anauwelewa mkubwa kwani kama ujui ulikotoka uwezi kujua unakokwenda.

Kuwakubali machifu ni kuenzi mila na tamaduni zetu za kiafrika hivyo mama amefanya jambo kubwa na la kihistoria, Machif walisimamia mambo yote kabla ya kuja wageni kutoka Ulapa na Arabia yakiwemo ya kijamii kama mdoa, vyakula, ibada, maombi, heshima, uzalendo, dawa na mengine mengi.

Na sayantifiki profu kuwa babu zetu walikuwa na Mungu nyuma 1900 kurudi nyuma babu zetu waliishi miaka ya kawaida 150 kuendelea.
Naomba kuuliza, hivi ktk historia na utamaduni hasa wetu wa Kitanzania, tuna Machief Wanawake?
 
Hujui kitu wanawake machifu usukumani waliwahi kuwepo. Kawaulize wazee wa kwenu watakueleza ukweli. Mfano utemi wa Buhungukila wilaya ya Kwimba uliwahi kuwa na mtemi mwanamke. Aidha mtemi wa mwisho wa Urambo ni Kibete binti wa Mtemi Milambo. Nenda kajifunze zaidi umekurupuka.
Andiko LA Mwl Shija Samweli kutoka misungwi Mwanza;

RAIS AINGIZWA KINGI USUKUMANI

Ukweli ni kwamba,USUKUMANI hatujawahi kuwa na CHIFU wa jinsia ya kike na hatutarajii Kama atakuwepo kesho au kesho kutwa.

Usukumani hajawahi kuwepo CHIFU wa MACHIFU(ntemi o batemi) tangu mwanzo wa Zama za sukuma land (igunguli lya banhu ba sukuma).

Iko hivi;
1.kwa usukumani, cheo Cha UCHIFU hupewa wanaume tu(Ngosha)ndiyo maana tuna majina Kama CHIFU MALONJA,MASANJA NK

2.Wapo wanawake(bakima) waliowahi kupewa nafasi kubwa za "ulezi" wa ukoo(clan) ambapo cheo Chao waliitwa NGOLE(malikia).tunayo mifano kadhaa ya kina NGOLE wa kike Kama vile,MINZA,NGOLO,NG`WASHI,NKAMBA,NG`WISABI,na huyu NKWIMBA aliyepewa kuulea ukoo uliozaa jina la wilaya ya KWIMBA yenye mjumuiko wa wilaya za MISUNGWI na MAGU.
Ukikaa na msukuma yeyote,sikiliza salamu yake asubuhi.Utasikia maneno E-MINZA au E-NGOLO,E-NKWIMBA nk.hii ni heshima pekee inayotolewa kwa kuwakumbuka Hawa malikia kulingango na Koo zao na kamwe hautasikia msukuma anasalimia na kusema E-shija,E-magufuli,E-malonja au E-suluhu.

3.NGOLE/malikia(kiongozi wa kike) ni mlezi tu wa ukoo.mipango yote ya ulinzi na usalama hufanywa na NTEMI/ Chief akishirikiana na maakida/maaskali wakuu wa ikulu(bashilikale ba g'wi-kulu).

4. jina la HANGAYA Ni jina la nyota(sonda) inayong'aa Sana asubuhi ambapo mtu akizaliwa asubuhi Kabla nyota hiyo haijafifia anaweza kuitwa jina Hilo, haijarishi ni mwanamke au mwanume.usukumani hatujawahi kuwa na CHIFU wala NGOLE wa jina la HANGAYA.

5.ngoma za heshima za kumtawaza CHIFU(ng'oma ja milango) hazilii hovyohovyo Bali huandaliwa siku na utaratibu maalum tofauti na hiki kilichofanywa na UMT katika viwanja vya Redcross-magu.
Je,Ni Nani alishawahi kusikia "mkuu wa mkoa" wa "wakuu wa mikoa"?,au CHIFU wa MACHIFU?? Hiiiiiiiiii elelo twa lembiwa lemi nyange!!.tukisema rais ameingizwa kingi usukumani,hii ndiyo maana yake.
Hata Kama mna FURAHA,Fanyeni utafiti wa kutosha hasa kwenye matukio makubwa Kama haya.tofauti na hapo unaweza kushushwa hadhi bila kujua.

SHIJA ss SHIBESHI.
Misungwi.
 
Mh ni muumini wa dini ipi kati ya hizi unazoongelea.
Unajuaje mtu ni muumini wa dini fulani au anasema tu kuwa ni muumini wa dini fulani?

Na kwa nini uumini wake uwe muhimu katika muktadha wa hoja yangu?

Ikiwa 1 ni 1, na si 2, muheshimiwa akiamini 1 ni 2 atabadilisha ukweki na kufanya 1 iwe 2?
 
Unajuaje mtu ni muumini wa dini fulani au anasema tu kuwa ni muumini wa dini fulani?

Na kwa nini uumini wake uwe muhimu katika muktadha wa hoja yangu?

Ikiwa 1 ni 1, na si 2, muheshimiwa akiamini 1 ni 2 atabadilisha ukweki na kufanya 1 iwe 2?

Ikiwa ni 2 ni 2 na si 1, basi 1 na 2 zote zitabakia kuwa ni namba.
 
Back
Top Bottom