Deeboyfrexh
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 3,191
- 5,179
Chief Hanga YaPunguza ukali wa maneno muraaa!
Chifu Mkuu Hangaya ameshatawazwa......💪👍
#SiempreChifuMkuuHangaya
#NchiKwanza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chief Hanga YaPunguza ukali wa maneno muraaa!
Chifu Mkuu Hangaya ameshatawazwa......💪👍
#SiempreChifuMkuuHangaya
#NchiKwanza
Baba wa taifa mwalimu Julius Kambalage Nyerere yeye baada ya kupata uhuru alifuta uchifu hapa Tanganyika na Zanzibar lakini leo mama anarudisa historia ya utawala wa kiasili wa babu zetu.
Chifudom na kingdom ndiyo walikuwa viongozi wa siasa hapa Tanganyika na Afrika kwa tendo hili mimi nampa biG apu mama kwa kuonyesha kuwa anauwelewa mkubwa kwani kama ujui ulikotoka uwezi kujua unakokwenda.
Kuwakubali machifu ni kuenzi mila na tamaduni zetu za kiafrika hivyo mama amefanya jambo kubwa na la kihistoria, Machif walisimamia mambo yote kabla ya kuja wageni kutoka Ulapa na Arabia yakiwemo ya kijamii kama mdoa, vyakula, ibada, maombi, heshima, uzalendo, dawa na mengine mengi.
Na sayantifiki profu kuwa babu zetu walikuwa na Mungu nyuma 1900 kurudi nyuma babu zetu waliishi miaka ya kawaida 150 kuendelea.