AirTanzania
JF-Expert Member
- Mar 17, 2011
- 1,139
- 1,033
Kwa Jinsi mambo yaliyotekea jana kwenye TV ya Taifa inayoongozwa na Mafisadi Papa kuudanganya Umma kwa kupitia Station hiyo. Jana kulikuwa na Makamu mwenyetiki wa kamati ya Nishati ya Bunge kwenye tbc1 alikuwa anafoka kuhusu Mwanakijiji. Kwa kweli naona limewachoma na kuwauma lakini ukweli umewafikia hivyo Mwanakijiji yuko USA lakini anawapeleka mbio hawa Mafisadi huku Bongo. Swali nililokuwa najiuliza kuwa Je kama Mwanakijiji angewapo hapa bongo hawa Mafisadi wangekuwa wanalala vizuri, yuko mbali wanamuogopa hoja zake je angekuwapo hapo Dodoma nafikiri wangejiharia kwenye masuti yao:teeth: