Chris Lukosi
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 4,581
- 2,937
Ndugu zanguni,
Juzi hapa jamvini sote tuliona live mwenyekiti wa Chadema mbowe jinsi alivyochanwa live kwa kutumia nafasi yake ya uongozi wa upinzani bungeni KUB kwa kuamuru mbunge wa viti maalum akatize ziara ya kikazi na kumfuata Dubai wajiachie
Sio hilo tu, pia tumeona jinsi walivyochukia mpaka kumvua uongozi zitto kisa eti kasema mahesabu ya chama yachunguzwe
Bila kusahau pale alipokiuzia chama mafuso chakavu kwa bei mbaya sana
Hii ni baadhi tu ya mtiririko wa matukio ya kihuni yanayofanywa na mwenyekiti Mbowe lakini wafuasi wake wambao ni kama vile walikula kiapo cha utii na uaminifu, wakiongozwa na mbeba sumu Ben Saanane wamekuwa wakimtetea na kuporomosha matusi mazito hapa jukwaani wakipinga kila kitu bila aibu
Hii imenifanya nikubali kuwa Mbowe ana ushawishi mkubwa kwa wanachama wake kiasi kwamba hata akitapika watasema kacheua tu
Zamani nilidhani wako kwenye msukule mode, lakini sasa nimeamini kuwa ni watiifu kwa kiongozi wao kimaslahi zaidi
Hongera sana KUB
JITAMBUE!
MORE MONEY MORE TROUBLE, URITHI, ZA MKWE, RUZUKU,SABODO, MICHANGO YA WANANCHI, M4C... BALAA TUPU!
Juzi hapa jamvini sote tuliona live mwenyekiti wa Chadema mbowe jinsi alivyochanwa live kwa kutumia nafasi yake ya uongozi wa upinzani bungeni KUB kwa kuamuru mbunge wa viti maalum akatize ziara ya kikazi na kumfuata Dubai wajiachie
Sio hilo tu, pia tumeona jinsi walivyochukia mpaka kumvua uongozi zitto kisa eti kasema mahesabu ya chama yachunguzwe
Bila kusahau pale alipokiuzia chama mafuso chakavu kwa bei mbaya sana
Hii ni baadhi tu ya mtiririko wa matukio ya kihuni yanayofanywa na mwenyekiti Mbowe lakini wafuasi wake wambao ni kama vile walikula kiapo cha utii na uaminifu, wakiongozwa na mbeba sumu Ben Saanane wamekuwa wakimtetea na kuporomosha matusi mazito hapa jukwaani wakipinga kila kitu bila aibu
Hii imenifanya nikubali kuwa Mbowe ana ushawishi mkubwa kwa wanachama wake kiasi kwamba hata akitapika watasema kacheua tu
Zamani nilidhani wako kwenye msukule mode, lakini sasa nimeamini kuwa ni watiifu kwa kiongozi wao kimaslahi zaidi
Hongera sana KUB
JITAMBUE!
MORE MONEY MORE TROUBLE, URITHI, ZA MKWE, RUZUKU,SABODO, MICHANGO YA WANANCHI, M4C... BALAA TUPU!