Waswahili husema kila zama na kitabu chake, pia kila msimu na ndege wake
Katika historia ya siasa zimepita Zama mbalimbali ambazo zilibeba wanasiasa mbalimbali wenye mvuto. Kwa kutaja wachache ni Kama vile Mwl Nyerere, Sokoine, Mrema, Lowassa, Magufuli, Slaa, Zito na wengineo
Maisha hayamuachi mtu, watu huja na kupita
Baada ya kupita hao wote, kwa Sasa ni Gwajima. Naipongeza CCM kwa kuendelea kuzalisha wanasiasa wenye mvuto mbele ya wananchi wa Tanzania.
Natoa Rai kwa chama kuilinda tunu hii kwa maslahi ya chama na Taifa letu.
Katika historia ya siasa zimepita Zama mbalimbali ambazo zilibeba wanasiasa mbalimbali wenye mvuto. Kwa kutaja wachache ni Kama vile Mwl Nyerere, Sokoine, Mrema, Lowassa, Magufuli, Slaa, Zito na wengineo
Maisha hayamuachi mtu, watu huja na kupita
Baada ya kupita hao wote, kwa Sasa ni Gwajima. Naipongeza CCM kwa kuendelea kuzalisha wanasiasa wenye mvuto mbele ya wananchi wa Tanzania.
Natoa Rai kwa chama kuilinda tunu hii kwa maslahi ya chama na Taifa letu.