huyu jamaa namfaham ni bora hata mwana...jakaya kikwete aliyeiaibisha feza girls.mweupeee
Yale yaleeeeeeee..... aisifiaye mvua........Huyu Bwana ni mchapakazi mzuri sana.Alikuwa Dar-es Salaam(sikumbuki Halmashauri gani), Akahamishiwa Singida kuwa Katibu tawala wa Mkoa then akaenda Morogoro.Mwaka jana aliteuliwa kuwa k/katibu mkuu kabla ya kuwa katibu mkuu kamili wa Wizara ya Maendeleo ya jamii na watoto na sasa ni Katibu mkuu TAMISEMI.Huko kote alikopita amekuwa mchapakazi mzuri sana kwa mfano mkoa wa singida na Morogoro alihakkikisha kwamba analipa madai yote ya malimbikizo ya wafanyakazi wa AFYA, amesimamia vizuri sana ujenzi na uboreshaji wa Hospitali za mikoa-Singida na Morogoro ndani ya muda mfupi sana....Ndipo Mheshimiwa Raisi akamwona na kumpandisha cheoBwn. Hussein Katanga!! nadhani anafaa kuchukua kiti cha Blandina Nyoni
Sasa Bw. Hussein Katanga kama wewe ni mchapa kazi si ukae kimya tu bwana mkubwa atakuona kama alivyokuona huko nyuma?Bwn. Hussein Katanga!! nadhani anafaa kuchukua kiti cha Blandina Nyoni
Hussein KatangaHuyu Bwana ni mchapakazi mzuri sana.
Alikuwa Dar-es Salaam(sikumbuki Halmashauri gani), Akahamishiwa Singida kuwa Katibu tawala wa Mkoa then akaenda Morogoro.
Mwaka jana aliteuliwa kuwa k/katibu mkuu kabla ya kuwa katibu mkuu kamili wa Wizara ya Maendeleo ya jamii na watoto na sasa ni Katibu mkuu TAMISEMI.
Huko kote alikopita amekuwa mchapakazi mzuri sana kwa mfano mkoa wa singida na Morogoro alihakkikisha kwamba analipa madai yote ya malimbikizo ya wafanyakazi wa AFYA, amesimamia vizuri sana ujenzi na uboreshaji wa Hospitali za mikoa-Singida na Morogoro ndani ya muda mfupi sana....Ndipo Mheshimiwa Raisi akamwona na kumpandisha cheo
Bwn. Hussein Katanga!! nadhani anafaa kuchukua kiti cha Blandina Nyoni
Hussein KatangaNaunga mkono hoja, huyu jamaa alikuwa MD Kinondoni na wala siyo Ilala kama ilivyoelezwa mwanzo, jamaa ni mchapakazi kweli na ndiye aliyeanzisha (Kinondoni bila uchafu inawezekana)
Nakumbuka siku moja alimuambia Londa wakati huo Londa akiwa Meya wa kinondoni kuwa mchezo wake wa kuchukua waandishi wa habari kila anapoenda na kuamuru walipwe na Halmashauri siyo sahihi na akatamka waziwazi kuwa "next time utatoa za kwako mfukoni"
Baadaye akawapiga marufuku madiwani kushinda kwenye ofisi za Halmashauri na kuwataka wakawahudumie wananchi kwenye kata zao.
Wakamuundia zengwe akahamishwa. Akipewa huyo nitaunga mkono jamaa ni mchapa kazi sana.
Mkuu hatimae Ile Ndoto yako ya CS kua Katanga imetimia,Kweli Kama una faa unafaa tu hata ipite miaka.Ulitabiri huyu awe mrithi wa Luhanjo,naona Sasa mama ameanza vizuri Sana hateui Mtu kwa kukurupuka lakini pia nimeaminia anawashauri wazuri na huenda anawasikiliza siyo Kama mzee wa Mimi Sipangiwi na kuteua watu wasiokua na uelewa wowote kuhusu Public Service anzia kwa Ma DED,Hadi CS huyu aliyedumu kwa mwezi mmoja tu.Ilifikia hatua Mtu anateuliwa u DED hata Check no Hana anaenda kuipatia kwenye Halmashaurii anayoenda kuongoza yani kisa tu mtukufu amempenda au amesifiwa na Mtu husika hii ilikua inawavunja Sana Moyo watumishi waliokaa kwenye Utumishi miaka mingi na wenye sifa,Mtu katoka from no where anakuja kua Boss wako hata hajui chochote kuhusu Utumishi wa Umma.Katanga ni safi sana, anajiamini, anachapa kazi, yupo vizuri ku kichwa, mtanashati na hana mambo ya siasa. Nilijua ndo angechukua nafasi ya Luhanjo