Huyu Bwana ni mchapakazi mzuri sana.
Alikuwa Dar-es Salaam(sikumbuki Halmashauri gani), Akahamishiwa Singida kuwa Katibu tawala wa Mkoa then akaenda Morogoro.
Mwaka jana aliteuliwa kuwa k/katibu mkuu kabla ya kuwa katibu mkuu kamili wa Wizara ya Maendeleo ya jamii na watoto na sasa ni Katibu mkuu TAMISEMI.
Huko kote alikopita amekuwa mchapakazi mzuri sana kwa mfano mkoa wa singida na Morogoro alihakkikisha kwamba analipa madai yote ya malimbikizo ya wafanyakazi wa AFYA, amesimamia vizuri sana ujenzi na uboreshaji wa Hospitali za mikoa-Singida na Morogoro ndani ya muda mfupi sana....Ndipo Mheshimiwa Raisi akamwona na kumpandisha cheo
Bwn. Hussein Katanga!! nadhani anafaa kuchukua kiti cha Blandina Nyoni
Alikuwa Dar-es Salaam(sikumbuki Halmashauri gani), Akahamishiwa Singida kuwa Katibu tawala wa Mkoa then akaenda Morogoro.
Mwaka jana aliteuliwa kuwa k/katibu mkuu kabla ya kuwa katibu mkuu kamili wa Wizara ya Maendeleo ya jamii na watoto na sasa ni Katibu mkuu TAMISEMI.
Huko kote alikopita amekuwa mchapakazi mzuri sana kwa mfano mkoa wa singida na Morogoro alihakkikisha kwamba analipa madai yote ya malimbikizo ya wafanyakazi wa AFYA, amesimamia vizuri sana ujenzi na uboreshaji wa Hospitali za mikoa-Singida na Morogoro ndani ya muda mfupi sana....Ndipo Mheshimiwa Raisi akamwona na kumpandisha cheo
Bwn. Hussein Katanga!! nadhani anafaa kuchukua kiti cha Blandina Nyoni