ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,532
- 44,650
Wakuu huyu mwalimu asiye na kifani ameyagusa Sana maisha yangu kwa kweli Ni njia,kweli na uzima ukubali au ukatae.mahubiri yake hasa ya pale mlimani yanaendelea kutufaidi sote.kuna muda inafika huwa nampenda Sana kiasi kwamba sitaki wengine mumupate huyu yesu yaani Naona Kama mkimpata mtafaidi sana kuliko hata mimi.