SHABANIMAVOCHA
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 320
- 65
Wana Jf,
Nina mpenzi wangu ambae nampenda sana nae anadai ananipenda lakini tunaweza kukaa hata mwezi m1 alafu nikimwambia namuitaji kimapenzi huwa anakataa kabisa anadai eti anaogopa hii inaniumiza sana wakati mwengine nalazimika kumuongopea ili aje nyumbani lakini hakifika tutacheka na kucheza sana.
Lakini ukitaka kwenda kimapenzi tuu ana badilika fasta najitahidi sana kumuomba kistaarabu lakini hanielewi nikitumia nguvu ndo inakuwa bonge la ugomvi yani imeshafka miez 8 sasa toka tuanze mahusiano lakini nimefanya nae mara 2 tu tena kwa kazi sana.
Wewe kama mzee/kijana naomba ushauri nini nifanye ili tatizo ili liishe.
Nina mpenzi wangu ambae nampenda sana nae anadai ananipenda lakini tunaweza kukaa hata mwezi m1 alafu nikimwambia namuitaji kimapenzi huwa anakataa kabisa anadai eti anaogopa hii inaniumiza sana wakati mwengine nalazimika kumuongopea ili aje nyumbani lakini hakifika tutacheka na kucheza sana.
Lakini ukitaka kwenda kimapenzi tuu ana badilika fasta najitahidi sana kumuomba kistaarabu lakini hanielewi nikitumia nguvu ndo inakuwa bonge la ugomvi yani imeshafka miez 8 sasa toka tuanze mahusiano lakini nimefanya nae mara 2 tu tena kwa kazi sana.
Wewe kama mzee/kijana naomba ushauri nini nifanye ili tatizo ili liishe.