Mpe pesa tu, hakuna cha sound toa pesa atakufuata mwenyeweWakuu kuna mschana nimemfia sana baada ya kukutana naye tour flan hivi za kitaaluma but ana boyfriend wake Nifanyeje kumuingia japo ajue pendo langu.
Kaaa pembeni Tafuta msichana/mwanamke mwingine. Vinginevyo andaaa bajeti ya nepi na kyjelly.Sasa unanishaurije?