punditt
Senior Member
- Feb 19, 2019
- 112
- 49
habari za mda huu wadau wa jf# namini mko poa . bilia ya kupoteza wakati acha niende ky mada moja kwa moja.
Hakika katika hii dunia ya sayari ya tatu hakuna kitu kizuri kama kuwa na furaha maana unaweza ukawa na pesa,cheo, umarufu . n.k lakini ukakosa kitu kinachoitwa furaha. Hutakuwa na amani katika maisha yako .na furaha huja pale unapopata mtu ,rafiki ,mchumba sahihi wa kuwa nae.
Nimeanza mahusiano na mchumba wangu takribani miaka mitatu (3) mpka sasa bado naendlea nae, ingawa kunachangamoto za hapa na pale cz sisi ni binadamu kukosea huwa hakukwepeki.
Nampenda sn mpenzi wangu kwani anaonesha kunijali,kunifariji pale napokuwa na tatzo, pia ni mwanamke ambae ana sifa za kipekee sn tofaut na wengine cz ,ni mkweli, hana makundi ya watu ,ni mwepesi wa kusamehe ,mvumilivu na pia yapo mengi ambayo ananitendea mpka moyo wangu umejidhihilishia kuwa awe ndo mkewngu wa kufunga nae pingu za maisha .
Lakini Kitu ambacho kimekuwa changamoto ky mahusiano yetu ni utofauti wa dini, yeye ni muslam na mm ni mkristu, .mpka ss nashindwa nifanyaje maana nimejitahidi kumshawishi aje kwenye upande wa dini yangu bado hayuko tayari " na mm pia siko tyr kubadili dini . Asa shida inakuja nampenda sna sitaki nimkose katika maisha yangu,.
*Naombeni ushauri wenu wadau bila kuweka itikadi za kidini ,
asanteni namini maoni yenu ni msaada mkubwa sn kwangu#
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika katika hii dunia ya sayari ya tatu hakuna kitu kizuri kama kuwa na furaha maana unaweza ukawa na pesa,cheo, umarufu . n.k lakini ukakosa kitu kinachoitwa furaha. Hutakuwa na amani katika maisha yako .na furaha huja pale unapopata mtu ,rafiki ,mchumba sahihi wa kuwa nae.
Nimeanza mahusiano na mchumba wangu takribani miaka mitatu (3) mpka sasa bado naendlea nae, ingawa kunachangamoto za hapa na pale cz sisi ni binadamu kukosea huwa hakukwepeki.
Nampenda sn mpenzi wangu kwani anaonesha kunijali,kunifariji pale napokuwa na tatzo, pia ni mwanamke ambae ana sifa za kipekee sn tofaut na wengine cz ,ni mkweli, hana makundi ya watu ,ni mwepesi wa kusamehe ,mvumilivu na pia yapo mengi ambayo ananitendea mpka moyo wangu umejidhihilishia kuwa awe ndo mkewngu wa kufunga nae pingu za maisha .
Lakini Kitu ambacho kimekuwa changamoto ky mahusiano yetu ni utofauti wa dini, yeye ni muslam na mm ni mkristu, .mpka ss nashindwa nifanyaje maana nimejitahidi kumshawishi aje kwenye upande wa dini yangu bado hayuko tayari " na mm pia siko tyr kubadili dini . Asa shida inakuja nampenda sna sitaki nimkose katika maisha yangu,.
*Naombeni ushauri wenu wadau bila kuweka itikadi za kidini ,
asanteni namini maoni yenu ni msaada mkubwa sn kwangu#
Sent using Jamii Forums mobile app