Nampenda lakini nahofia atanichukuliaje?

Kiukweli nimesoma michango ya wadau mwanzo mpaka mwisho, na majibu yako. Nimefikia hitimisho kwamba huyo dada humwezi. Na utaharibu biashara yako.

Hapa nimejumlisha na comments za ule Uzi ulioambiwa utafute chumba chenye umeme. Kuna vitu vingi vya kukushauri ila mihemuko imeshachukua nafasi. Kila la kheri, nakuombea isiwe kama ninavyowaza.
 
12 Reactions
Reply
Back
Top Bottom