kanchibay
JF-Expert Member
- Jan 4, 2019
- 672
- 687
Ndo tunayasubiria kwa ham sasa mkuu, siotu kutushirikisha kwenye shidatu alaf raha ya kushea story za manjonjo ndo kabisa unatukaushia
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo tunayasubiria kwa ham sasa mkuu, siotu kutushirikisha kwenye shidatu alaf raha ya kushea story za manjonjo ndo kabisa unatukaushia
😂😂😂inauma iyooHuo uthubutu ndio uanaume sasa, ukiendelea kusubiri atakuletea kadi ya harusi
mwambie ya kuoshea sufuria,coz mtu yuko na akil timamu hawezi kukuuliza nugs kama hiyo.kingine nahofu ya kumwomba no, nahisi kwamba ataaniuliza nataka ya nini..!!
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂😂😂😂Naomba namba yake nikulegezee
Mtu anafanya miamala kwenye kibanda umiza chako afu namba yake huna? Hii chai weka sukari kidogokingine nahofu ya kumwomba no, nahisi kwamba ataaniuliza nataka ya nini..!!
Sent using Jamii Forums mobile app
ajazie na baking powder kdgoMtu anafanya miamala kwenye kibanda umiza chako afu namba yake huna? Hii chai weka sukari kidogo
kama mambo yatakuwa safi, j'pili hii naenda nae out, sasa najiuliza nimpeleke wap maana sijui hata viwanja mwenzenu!!Ndo tunayasubiria kwa ham sasa mkuu, siotu kutushirikisha kwenye shidatu alaf raha ya kushea story za manjonjo ndo kabisa unatukaushia
Sent using Jamii Forums mobile app
keshatoa lkn nilitumia njia ndefu sana.. Wanaume tumeumbiwa dhiki sana kikwelimwambie ya kuoshea sufuria,coz mtu yuko na akil timamu hawezi kukuuliza nugs kama hiyo.
nitachukua no za ngap maana kila no ya mwanamke mkali anaefanya miamala kwangu ninayo, nilikunayo ila sikuwa na idhini ya kuitumia, ila saizi kanipatia yy mwenyewe.ajazie na baking powder kdgo
Isee, kumbe mambo tyr yashajipa naonakama mambo yatakuwa safi, j'pili hii naenda nae out, sasa najiuliza nimpeleke wap maana sijui hata viwanja mwenzenu!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo umekaa kikolomijekolomijekama mambo yatakuwa safi, j'pili hii naenda nae out, sasa najiuliza nimpeleke wap maana sijui hata viwanja mwenzenu!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo umesha create na majibu atakayo kupa hapo hutakuwa na confidence ya kumuattack.kingine nahofu ya kumwomba no, nahisi kwamba ataaniuliza nataka ya nini..!!
Sent using Jamii Forums mobile app