Bulaya001
JF-Expert Member
- Dec 21, 2018
- 5,868
- 6,480
- Thread starter
- #261
jamaa povu limekutoka kama umenichangia mtaji aseee!!Fala kweli wewe.. Wewe upo kwenye banda lako la m/pesa umejuaje kuwa anajielewa au hana muda na watu! Sema na muda wewe, akifika kwenye kibanda chako anaweka hela au kutoa na kusepa.. Ana muda sana na hao wanaompa hela.. Ngedere kweli wewe, mwelezi hisia zako, kama na hivyo vikamisheni unavyopewa huko voda au tigo havijayeyuka..
fanya kazi mdogo wangu
Sent using Jamii Forums mobile app