Mvalishe barakoa ndio umtafune
Duniani pamejaa vituko. Na kwanini usijiengeze maarifa anapoanza kupandisha "munkari" mlishe nguo zake au chuka mliotaka kujifunika.... Kutafuta raha kwenyu kumegeuka kua karaha....Wadau, ni takriban miezi mitatu nimeingia kwenye date na pisi moja hivi. Bibie ni mkali sana kiukweli na nimemmendea kwa almost miezi minne.
Lakini nina shida moja, demu yuko vizuri sana kwenye sita kwa sita. Ni balaa. Tatizo ni moja tu, akifika kileleni, akitaka kuachia mzigo lazima aning'ate kiasi cha kunitoa mchezoni.
Hapa niandikapo mabega yangu yanauma ni vidonda. Jana nikabadili staili, ikawa ni "chuma mboga" ili niwe mbali na mdomo wake lakini wapi, alipofika tu kileleni sijui ilikuwaje akakamata mkono wangu wa kulia dole gumba akang'ata, ni kidonda sasa. Nifanyeje?
Cha ajabu baada ya game hujuta sana na kujisikia vibaya kiasi cha kulia na kuniambia, "nisamehe baby, huwa sijielewi wala sijui ninakung'ata, nisamehe, nivumilie sijui ni nini mpenzi wangu" machozi yanamtoka.
Nampenda lakini nikihisi tu sex naye nakumbuka kung'atwa. Nahama hisia, nifanyeje??? Mwili unauma.
Itabidi uache kumfikisha kileleni ili asiwe anakutafuna!!Wadau, ni takriban miezi mitatu nimeingia kwenye date na pisi moja hivi. Bibie ni mkali sana kiukweli na nimemmendea kwa almost miezi minne.
Lakini nina shida moja, demu yuko vizuri sana kwenye sita kwa sita. Ni balaa. Tatizo ni moja tu, akifika kileleni, akitaka kuachia mzigo lazima aning'ate kiasi cha kunitoa mchezoni.
Hapa niandikapo mabega yangu yanauma ni vidonda. Jana nikabadili staili, ikawa ni "chuma mboga" ili niwe mbali na mdomo wake lakini wapi, alipofika tu kileleni sijui ilikuwaje akakamata mkono wangu wa kulia dole gumba akang'ata, ni kidonda sasa. Nifanyeje?
Cha ajabu baada ya game hujuta sana na kujisikia vibaya kiasi cha kulia na kuniambia, "nisamehe baby, huwa sijielewi wala sijui ninakung'ata, nisamehe, nivumilie sijui ni nini mpenzi wangu" machozi yanamtoka.
Nampenda lakini nikihisi tu sex naye nakumbuka kung'atwa. Nahama hisia, nifanyeje??? Mwili unauma.