Jamaa yangu mmoja raia wa Guatemala alikwenda na suoervisor wake (wa kike, single) Guatemala wakati wa phase 2 ya PhD yake. Supervisor akarudi na mimba ambayo ilijulikana baadae kuwa ni ya yule mwanafunzi. Hii ilimgharimu yule jamaa kwani supervisor alilazimishwa na Bodi ya Chuo kuwa ajiondoe katika jukumu hilo, na kazi ya kupata supervisor mwingine ilichukua mwaka mzima!