sweetapple
JF-Expert Member
- Dec 31, 2015
- 533
- 461
Wewe nimegundua huna nia au Hata huyo GF wa kinyakyusa ila uneleta Mdada hii.kama chuki.Sawa.Mungu akubariki.Oa kwingine Baada ya miaka 2,uje.Aksante
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe nimegundua huna nia au Hata huyo GF wa kinyakyusa ila uneleta Mdada hii.kama chuki.Sawa.Mungu akubariki.Oa kwingine Baada ya miaka 2,uje.Aksante
Unawafahamu wakinga wewe?
We kadada acha unafiki kukandia wenzio.wakat wew mwenyew unaonekana kashirikina tu
Haha huu uzi naona umetuongezea sifa mpya wanyakyusa
Uchawi
Kula paka na mbwa
Nihitimishe kwa kusema labda kuna kabila mbili za wanyakyusa Tz hii
Mwenyewe nimeshangaa sanaAwajulie wapi chuki kwa Wanyakyusa wa watu maskini walivyo na upendo na mshikamano.Ukifiwa wanalibeba umezaa mtoto Ni wao.Sijui huna Chakula wanakuchangia mahindi maharagwe na unga wanakuletea.Leo eti wabaya wachawi.Mpaka nimelia haki
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli wasomi wa makaratasi wanapata shida yani elimu haijakusaidia kitu. Yani wazazi wanekusomesha Mpaka kuoa unataka wakuolee wazazi na wakuchagulie mke wao.
Sent using Jamii Forums mobile app
tafuta Mrangi au Mmbulu umuoe ni wakarimu sana na waastarabu.
Wanawivu wachawi hawapendi ndugu wa mume wala nini halafu wanaroho mbaya sana .
Wachawi kabisaaa halafu sio wazuri kivile.
Halafu ni hivi wanakula paka na mbwa kambali nao.
Au kama unakula hayo mambo basi sawa .
Ila wanaroho ngumu na niwachawi sana yaani nikiolewa na hilo kabila sinawasiwasi nawachawi wachawi wanakaa mbali na sisi.
Ila tulikuwa nao kule kwenye jumuia yetu.
Daah...! Kuna watu humu mnatoa coment hadi shetani mwenyewe anawakataa. kula paka na mbwa?. Wa kwanza wewe kukusikia. Halafu lazima mtu ujichunge ongea yako. Usiropoke tu. Haiwezekani vitu ukavijua peke yako kwamba hili kabila linakula mbwa na paka.Ndio wanakula hadi paka naomba usikilize huu mkasa kuna mama alimuua mumewe na nibaada ya watoto kukuwa kiasi fulani.
Basi katika kuhukumiwa kwenda jela alikuja mpata mbaba aliyempigania hadi akamtoa akarudi kwa familia yake etio sio kwa makusudi.
Kidogo huyo mama shukurani kwa mke wa yule baba alimwekea limbwata mzee wawatu mpaka mzee wawatu akasahau familia yake.
Alimsomeshea watoto wake nakuwatunza mpaka wote wakajiweza .
Mama wawatu alienda kila kanisa ili amrudishe mumewe nyumbani huyo mama alihangaika miaka kumi natano ndio mumewe akamtambua na kurudi home na huyo mama anakula paka na amewafuga wengi tu kama sita wanene wapo tayari kwa kufungwa.
Mwenyewe nimeshangaa sana
jiandae kulea usikimbie MrDuh hakika Leo wkt mechi ya liver ma man u inaendeleaa. Ilikuwaa nazozana na demu wangu wa kinyalyusaa jamaa hawaa watuu mim cjui cyo kwa jeuri alizonazo una unamkuta hana kitu chochote cyo elimu cyo pesa ila cyo. Kwa kiburi hicho tulichatu hadi DKK tisi zinaishaa. Ila hatujaelewana hadi SAS nikamua kuamiacha tu abaki na misimamo yake ila
Ila ctomuacha HV HV huyu bint ntamebesha mimba tu akili amkaee sawaa
Sent using Jamii Forums mobile app
kabila halina tatizo, ila familia yake kweli inaweza ikawa tatizo, lakini hata kama familia yake ina tatizo...tunachoangalia... Je, unayetaka kumuoa ana akili? ana upendo? tabia zake vipi? je, unampenda? Sema hiyo ishu ya wazazi hiyo, ni ngumu kuikabili...japo sali tu utafanikiwa! Mungu akipenda utamuoa, asipopenda hutamuoa.
Duh....!!!Umetengeneza chuki sana. we Kaka mbaya sana.Oa kwingine tuone na Hayo machozi yake kama utaishi kwa amani.Unaleta Uzi kama huu humu Ili iweje.Kuwachafua tu watu wasio na hatia.Wewe mwenyewe Umesema umedate naye mwaka wa 4Halafu njia ya kumuacha Ndo hii? Chozi lake utalilipa soon or later.
Sent using Jamii Forums mobile app
HatariMkuu wa kuoa wameshapatikana humu. Waoe kati ya hawa wawili katoto kazuri au Pisi kali
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuanze wewe utakufa wewe kwa maana wewe ndio umenichimbishia kaburi nautaingia wewe bro au sisteriUnaudhi sana.how comes unawaponda watu hivyo? Kwanza tukirudi zamani Adam na Eva unaweza kutaka sote Ni kanmbika moja na Wewe Ndo Mnyakyusa.Unajiponda.Kama ulikerwa na wanyakyusa 2 au 3 Sio wote.This hatred will kill you one day.Watch out
Sent using Jamii Forums mobile app