Nampenda girlfriend wa binamu yangu,nifanyeje?

Gwamahala

JF-Expert Member
Jul 29, 2009
3,925
2,321
Wadau poleni na shughuli za hapa na pale.Poleni pia kwa mikikimikiki ya mwisho wa wiki.
Nina rafiki yangu kipenzi ambaye yeye sio memba wa JF ila siku moja moja huwa anapitia humu hususani hapa ktk Jukwaa letu tukufu la Mapenzi,na Mahusiano.Ishu yake ni hii:
Jamaa ana binamu yake ambaye wanapendana na walikuwa wana muda mrefu hawajaonana coz wanaishi na kufanya kazi ktk miji tofauti,huku Kenya.Siku za karibuni huyo rafiki yangu alienda kumtembelea binamu yake ambaye ameoa.Ila mke wa huyo binamu wa rafiki yangu anaishi mbali na mume wake,naye ni kwa sababu za kikazi pia coz alikosa nafasi ktk mji ule ambao mume wake anaishi na kufanya kazi.
Sasa huyo rafiki alipofika kwa huyo binamu yake akakuta huyo binamu yake ana GIRLFRIEND ambaye ndo jamaa anakula naye tunda.Huyu rafiki yangu yangu yeye hajaoa,na yule GIRLFRIEND wa binamu yake naye hajaolewa na wala hana mchumba.
Tatizo lilitokea pale tu rafiki yangu alipotambulishwa na binamu yake kwa yule msichana!Anasema alipata MSHITUKO wa mapenzi ambao haujawahi kumtokea ktk maisha yake,ila alijaribu kupuuzia sana akiamini kuwa itakwisha.Kwa kuwa alikwenda pale akiwa likizo na initially walishakubaliana na ndugu yake kuwa angemalizia likizo yake pale pale ilibidi aendelee kukaa pale kama walivyokubaliana.
Kadri siku zilivyokuwa zinaenda hali ya jamaa ilikuwa inabadilika sana kihisia juu ya yule msichana kiasi kwamba ikafika muda rafiki yangu akawa anajisikia very jelousy wale wawili wanapokuwa ktk mapozi ya kimapenzi!
Siku moja rafiki yangu ikabidi amwambie msichana jinsi anavyojisikia,msichana alishtuka sana na akamwambia ni kitu ambacho hakiwezekani coz hao wanaume wote wawili ni ndugu.Msichana akamwambia rafiki yangu kuwa anahofia kwamba anaweza kuwakosanisha,hivyo haitawezekana hata kidogo.
Basi rafiki yangu akaomba angalau apewe DENDA tu,msichana akakubali na baada ya hapo jamaa akaomba hug:Akapewa!Ikawa kila siku jamaa anaenda kwa msichana kwa siri afu anakula denda na hugs basi ila TUNDA akawa ananyimwa kabisa.Na jamaa akavumilia coz anampenda sana msichana kwa hiyo kila anachokatazwa anatii.Kwa kifupi wawili hao wame develop mapenzi mapenzi ya kushikanashikana tu na kunyonyana ndimi na matiti basi!
Sasa rafiki yangu ndo akanipigia simu akanipa story ili nimshauri,na mimi kwa kuwa najua humu JF kuna ma-great thinkers nikaona niimwage ili muweze kushauri huyu kijana coz yupo ktk CROSS-ROADS!
Nimeandika kwa kirefu ili iweze kueleweka vizuri coz mimi mwenyewe jamaa aliponipia tuliongea almost masaa manne.
Natanguliza shukrani kwa niaba ya rafiki yangu.
 
Wadau poleni na shughuli za hapa na pale.Poleni pia kwa mikikimikiki ya mwisho wa wiki.
Nina rafiki yangu kipenzi ambaye yeye sio memba wa JF ila siku moja moja huwa anapitia humu hususani hapa ktk Jukwaa letu tukufu la Mapenzi,na Mahusiano.Ishu yake ni hii:
Jamaa ana binamu yake ambaye wanapendana na walikuwa wana muda mrefu hawajaonana coz wanaishi na kufanya kazi ktk miji tofauti,huku Kenya.Siku za karibuni huyo rafiki yangu alienda kumtembelea binamu yake ambaye ameoa.Ila mke wa huyo binamu wa rafiki yangu anaishi mbali na mume wake,naye ni kwa sababu za kikazi pia coz alikosa nafasi ktk mji ule ambao mume wake anaishi na kufanya kazi.
Sasa huyo rafiki alipofika kwa huyo binamu yake akakuta huyo binamu yake ana GIRLFRIEND ambaye ndo jamaa anakula naye tunda.Huyu rafiki yangu yangu yeye hajaoa,na yule GIRLFRIEND wa binamu yake naye hajaolewa na wala hana mchumba.
Tatizo lilitokea pale tu rafiki yangu alipotambulishwa na binamu yake kwa yule msichana!Anasema alipata MSHITUKO wa mapenzi ambao haujawahi kumtokea ktk maisha yake,ila alijaribu kupuuzia sana akiamini kuwa itakwisha.Kwa kuwa alikwenda pale akiwa likizo na initially walishakubaliana na ndugu yake kuwa angemalizia likizo yake pale pale ilibidi aendelee kukaa pale kama walivyokubaliana.
Kadri siku zilivyokuwa zinaenda hali ya jamaa ilikuwa inabadilika sana kihisia juu ya yule msichana kiasi kwamba ikafika muda rafiki yangu akawa anajisikia very jelousy wale wawili wanapokuwa ktk mapozi ya kimapenzi!
Siku moja rafiki yangu ikabidi amwambie msichana jinsi anavyojisikia,msichana alishtuka sana na akamwambia ni kitu ambacho hakiwezekani coz hao wanaume wote wawili ni ndugu.Msichana akamwambia rafiki yangu kuwa anahofia kwamba anaweza kuwakosanisha,hivyo haitawezekana hata kidogo.
Basi rafiki yangu akaomba angalau apewe DENDA tu,msichana akakubali na baada ya hapo jamaa akaomba hug:Akapewa!Ikawa kila siku jamaa anaenda kwa msichana kwa siri afu anakula denda na hugs basi ila TUNDA akawa ananyimwa kabisa.Na jamaa akavumilia coz anampenda sana msichana kwa hiyo kila anachokatazwa anatii.Kwa kifupi wawili hao wame develop mapenzi mapenzi ya kushikanashikana tu na kunyonyana ndimi na matiti basi!
Sasa rafiki yangu ndo akanipigia simu akanipa story ili nimshauri,na mimi kwa kuwa najua humu JF kuna ma-great thinkers nikaona niimwage ili muweze kushauri huyu kijana coz yupo ktk CROSS-ROADS!
Nimeandika kwa kirefu ili iweze kueleweka vizuri coz mimi mwenyewe jamaa aliponipia tuliongea almost masaa manne.
Natanguliza shukrani kwa niaba ya rafiki yangu.

Yani hii ndio kitu ya kuweka kwenye jukwaa la uchaguzi??
 
story yako inavutia lakini jukwaa hili silo.......mwambie huyo jamaa yako avute kitu aweke ndani coz yule binamu hawezi kumuoa huyo msichana
 
Wadau poleni na shughuli za hapa na pale.Poleni pia kwa mikikimikiki ya mwisho wa wiki.
Nina rafiki yangu kipenzi ambaye yeye sio memba wa JF ila siku moja moja huwa anapitia humu hususani hapa ktk Jukwaa letu tukufu la Mapenzi,na Mahusiano.Ishu yake ni hii:
Jamaa ana binamu yake ambaye wanapendana na walikuwa wana muda mrefu hawajaonana coz wanaishi na kufanya kazi ktk miji tofauti,huku Kenya.Siku za karibuni huyo rafiki yangu alienda kumtembelea binamu yake ambaye ameoa.Ila mke wa huyo binamu wa rafiki yangu anaishi mbali na mume wake,naye ni kwa sababu za kikazi pia coz alikosa nafasi ktk mji ule ambao mume wake anaishi na kufanya kazi.
Sasa huyo rafiki alipofika kwa huyo binamu yake akakuta huyo binamu yake ana GIRLFRIEND ambaye ndo jamaa anakula naye tunda.Huyu rafiki yangu yangu yeye hajaoa,na yule GIRLFRIEND wa binamu yake naye hajaolewa na wala hana mchumba.
Tatizo lilitokea pale tu rafiki yangu alipotambulishwa na binamu yake kwa yule msichana!Anasema alipata MSHITUKO wa mapenzi ambao haujawahi kumtokea ktk maisha yake,ila alijaribu kupuuzia sana akiamini kuwa itakwisha.Kwa kuwa alikwenda pale akiwa likizo na initially walishakubaliana na ndugu yake kuwa angemalizia likizo yake pale pale ilibidi aendelee kukaa pale kama walivyokubaliana.
Kadri siku zilivyokuwa zinaenda hali ya jamaa ilikuwa inabadilika sana kihisia juu ya yule msichana kiasi kwamba ikafika muda rafiki yangu akawa anajisikia very jelousy wale wawili wanapokuwa ktk mapozi ya kimapenzi!
Siku moja rafiki yangu ikabidi amwambie msichana jinsi anavyojisikia,msichana alishtuka sana na akamwambia ni kitu ambacho hakiwezekani coz hao wanaume wote wawili ni ndugu.Msichana akamwambia rafiki yangu kuwa anahofia kwamba anaweza kuwakosanisha,hivyo haitawezekana hata kidogo.
Basi rafiki yangu akaomba angalau apewe DENDA tu,msichana akakubali na baada ya hapo jamaa akaomba hug:Akapewa!Ikawa kila siku jamaa anaenda kwa msichana kwa siri afu anakula denda na hugs basi ila TUNDA akawa ananyimwa kabisa.Na jamaa akavumilia coz anampenda sana msichana kwa hiyo kila anachokatazwa anatii.Kwa kifupi wawili hao wame develop mapenzi mapenzi ya kushikanashikana tu na kunyonyana ndimi na matiti basi!
Sasa rafiki yangu ndo akanipigia simu akanipa story ili nimshauri,na mimi kwa kuwa najua humu JF kuna ma-great thinkers nikaona niimwage ili muweze kushauri huyu kijana coz yupo ktk CROSS-ROADS!
Nimeandika kwa kirefu ili iweze kueleweka vizuri coz mimi mwenyewe jamaa aliponipia tuliongea almost masaa manne.
Natanguliza shukrani kwa niaba ya rafiki yangu.

huo ubazazi tu huna lolote....kwanza hujampenda umemtamani.....halafu fikiria kama jamaa yako angempenda demu wako ungejisikiaje? achana na hizo issue mademu kibao tu...
 
Wadau poleni na shughuli za hapa na pale.Poleni pia kwa mikikimikiki ya mwisho wa wiki.
Nina rafiki yangu kipenzi ambaye yeye sio memba wa JF ila siku moja moja huwa anapitia humu hususani hapa ktk Jukwaa letu tukufu la Mapenzi,na Mahusiano.Ishu yake ni hii:
Jamaa ana binamu yake ambaye wanapendana na walikuwa wana muda mrefu hawajaonana coz wanaishi na kufanya kazi ktk miji tofauti,huku Kenya.Siku za karibuni huyo rafiki yangu alienda kumtembelea binamu yake ambaye ameoa.Ila mke wa huyo binamu wa rafiki yangu anaishi mbali na mume wake,naye ni kwa sababu za kikazi pia coz alikosa nafasi ktk mji ule ambao mume wake anaishi na kufanya kazi.
Sasa huyo rafiki alipofika kwa huyo binamu yake akakuta huyo binamu yake ana GIRLFRIEND ambaye ndo jamaa anakula naye tunda.Huyu rafiki yangu yangu yeye hajaoa,na yule GIRLFRIEND wa binamu yake naye hajaolewa na wala hana mchumba.
Tatizo lilitokea pale tu rafiki yangu alipotambulishwa na binamu yake kwa yule msichana!Anasema alipata MSHITUKO wa mapenzi ambao haujawahi kumtokea ktk maisha yake,ila alijaribu kupuuzia sana akiamini kuwa itakwisha.Kwa kuwa alikwenda pale akiwa likizo na initially walishakubaliana na ndugu yake kuwa angemalizia likizo yake pale pale ilibidi aendelee kukaa pale kama walivyokubaliana.
Kadri siku zilivyokuwa zinaenda hali ya jamaa ilikuwa inabadilika sana kihisia juu ya yule msichana kiasi kwamba ikafika muda rafiki yangu akawa anajisikia very jelousy wale wawili wanapokuwa ktk mapozi ya kimapenzi!
Siku moja rafiki yangu ikabidi amwambie msichana jinsi anavyojisikia,msichana alishtuka sana na akamwambia ni kitu ambacho hakiwezekani coz hao wanaume wote wawili ni ndugu.Msichana akamwambia rafiki yangu kuwa anahofia kwamba anaweza kuwakosanisha,hivyo haitawezekana hata kidogo.
Basi rafiki yangu akaomba angalau apewe DENDA tu,msichana akakubali na baada ya hapo jamaa akaomba hug:Akapewa!Ikawa kila siku jamaa anaenda kwa msichana kwa siri afu anakula denda na hugs basi ila TUNDA akawa ananyimwa kabisa.Na jamaa akavumilia coz anampenda sana msichana kwa hiyo kila anachokatazwa anatii.Kwa kifupi wawili hao wame develop mapenzi mapenzi ya kushikanashikana tu na kunyonyana ndimi na matiti basi!
Sasa rafiki yangu ndo akanipigia simu akanipa story ili nimshauri,na mimi kwa kuwa najua humu JF kuna ma-great thinkers nikaona niimwage ili muweze kushauri huyu kijana coz yupo ktk CROSS-ROADS!
Nimeandika kwa kirefu ili iweze kueleweka vizuri coz mimi mwenyewe jamaa aliponipia tuliongea almost masaa manne.
Natanguliza shukrani kwa niaba ya rafiki yangu.
Miafrica sijui ikoje,Mitanzania kula vya wenzao,Minaigeria kuvunja mahusiano ya wenzao kwa kupeleka umbea huku na huko ggrrrrrr,tutaendelea lini
 
Sorry wakuu,it was a technical error ndo maana nikajikuta nimeipost ktk jukwaa la Uchaguzi.
Lakini nawashukuru MODS coz wamerekebisha fasta.Meanwhile nashukuru kwa wale wote ambao wameshaanza kutoa ushauri.
Tafadhalini ndugu zangu huyu rafiki yangu mpaka akaamua kui-expose hii ishu yake ana shida kweli ya ushauri.Naomba tujaribu kumshauri ndugu yetu kiupole na kiundugu,kwa dhati coz haya mambo yapo na yanatokea.Matusi siyo mazuri ndugu zangu,kama unaona swala ni la kipuuzi unaliacha kuliko kutukana,great thinkers dont do that.Naamini humu JF kuna wanasaikolojia ambao wanaweza kutoa msaada mzuri tu coz sio mara yangu ya kwanza kuona misaada mizuri ya kimawazo inatolewa humu!
Karibuni...
 
hakuna mapenzi hapo. na huyo rafiki yako jihadhari hata na GF/mke wako, ukimtambulisha tu kosa
 
huyu anatafuta huruma tu ya wananchi,
wamwambie ni sawa ,ahalalishe umala** wake!

mwambie jamaa yako,imekula kwake...:bump:
 
Mzee tangu lini KITUMBUA kikalambwa lambwa tu? Kwani huyo mtoto mchanga? Maana hata watoto wenye magego tu hukivunja kitumbua na kukimumunya sasa unaponiambia mzee mzima anasimama kula DENDA na kutomasa CHUCHU sipati picha.

Raha ya kitumbua UKITAFUNE bwana ujue sukari imo au la.
 
Sasa rafiki yangu ndo akanipigia simu akanipa story ili nimshauri,na mimi kwa kuwa najua humu JF kuna ma-great thinkers nikaona niimwage ili muweze kushauri huyu kijana coz yupo ktk CROSS-ROADS!
Nimeandika kwa kirefu ili iweze kueleweka vizuri coz mimi mwenyewe jamaa aliponipia tuliongea almost masaa manne.
Natanguliza shukrani kwa niaba ya rafiki yangu.
Yaani unataka ushauriwe jinsi ya kumshawishi binti ili ukazini naye!?
 
Mshikaji naona hapa unatupiga changa la macho bwana aishie kula denda na kushika chuchu tu. No huo ni uongo mkubwa haiwezekani wewe!!!! Hizo sehemu zenyewe ulizotaja ndo zinaleta ra** halafu eti waishie hapo HAPANA. SIJAKUB ALIANA NA HILO. BIG NOO
 
Kwanza story yenyewe ni yako mwenyewe....! Halafu unamsingizia mwingine (eti rafiki yako...!)....! Aidha, jaribu kumuomba ambane mzee with her naked mapaja....! Au muombe amshike mzee mithili ya kufinyanga with her naked hands...! Bila shaka utamshawishi kisaikoloji zaidi na huenda ukafanikiwa...!
 
Back
Top Bottom