sinajinasasa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 2,989
- 4,129
Aisee nilikuwa sijamwona vizuri huyu mtangazaji wa ITV Farhia Middley, Jana kwenye kipima joto nimemtazama huyu mwanamke dashhhhh, ana umbo zuri ambalo limenivutia usipime. Ana umbile matata sana..
Farhia kama upo humu naomba uje PM nikutafute unitoe hii hamu kwako. Naumia sana napokuona hivi hivi, I love u.
Farhia kama upo humu naomba uje PM nikutafute unitoe hii hamu kwako. Naumia sana napokuona hivi hivi, I love u.