kikoozi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2015
- 2,030
- 2,929
- Thread starter
- #141
Nimekuelewa nduguSasa unataka kuoa sababu ya hali ya kwao ya kiuchumi? Umempendea pesa aisee🤔nashauri muoe mtu ambaye unampenda/mnapendana kama ni pesa mtatafuta za kwenu hata ukifa watoto wataishi na mama yao na pesa mlizotafuta. Usijilazimishe kwa mtu unayehisi humpendi, ndoa ni kifungo cha maisha kile usijekujuta bure.