jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
Hakika nimepata faraja sana kwa Mh Rais Samia kwa kuweka taji la heshima katika kaburi la Hayati Dr John Pombe Magufuli katika siku hii muhimu ya kitaifa ambayo inamkumbuka muasisi wa Taifa.
Rais Magufuli alifuasa vyema sera za Nyerere(RiP) ambazo ni kama rejea na kipimo cha marais wote waliofuatia.
RiP Mwal. Julius Kambarage Nyerere
RiP Rais Benjamin Willium Mkapa
RiP Jembe Rais John Pombe Magufuli
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Rais Magufuli alifuasa vyema sera za Nyerere(RiP) ambazo ni kama rejea na kipimo cha marais wote waliofuatia.
RiP Mwal. Julius Kambarage Nyerere
RiP Rais Benjamin Willium Mkapa
RiP Jembe Rais John Pombe Magufuli
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!