Namnani Sinza Kulikoni!!!

Gosbertgoodluck

JF-Expert Member
Mar 3, 2008
2,855
401
Juzi nililala hapo mahali nikajilaumu kwa nini sikutembea na mke wangu. Karibu kila aliyeingia pale alikuwa na wake. Halafu TV zina channel ya mavituzi masaa 24. Ilikuwa ni mara yangu ya kwanza kulala guest ya aina hiyo.
 
Juzi nililala hapo mahali nikajilaumu kwa nini sikutembea na mke wangu. Karibu kila aliyeingia pale alikuwa na wake. Halafu TV zina channel ya mavituzi masaa 24. Ilikuwa ni mara yangu ya kwanza kulala guest ya aina hiyo.

Hivi kweli waweza kutembea na mke wako?.........just asking................
 
aaah muwe mnaulizia wenyeji si kila guest or lodge inafaa zingine ni machimbo ... sasa umeenda chimbo unalalamika nini???
 
Back
Top Bottom