Churchboy
Member
- Aug 2, 2020
- 58
- 29
Habar za wakat uu mim ni mshaur wa maswala mazima ya fashion and life style leo napenda kuongelea leather jacket iz ni jacket ambazo kwa mwanaume yoyote kwenye collection yanguo zako nakushaur uwe hata na moja leather jacket kwa maeneo ya Dar kwa sabu mara nying huwa nijoto umaweza ukawa unavaa mida ya jion ukilinganisha na mchana lakin ni koti ambayo
Kwanza haipitwi na fashion miaka na miaka is look fashionable.
Pia inakufanya kuwa more fashion nakukupa muonekano wakiume na ii unaweza valia boot inakuwa poa sana na simple T-shirt black or white combination ii ni nzur sana
Nashauri kwa mazingira ya Dar usivae muda wa mchana kwa sabu ya hali ya hewa ya koto kuwa kali ila kwamikoa ya Arusha,Mosh na mbeya uu muonekano ni mzur araf pia kwa wale ambao wanafanya ya investment maybe katika biashara itakufanya kupunguza matumiz ya kununua mda wote nguo,u look simple but classic.
Kwanza haipitwi na fashion miaka na miaka is look fashionable.
Pia inakufanya kuwa more fashion nakukupa muonekano wakiume na ii unaweza valia boot inakuwa poa sana na simple T-shirt black or white combination ii ni nzur sana
Nashauri kwa mazingira ya Dar usivae muda wa mchana kwa sabu ya hali ya hewa ya koto kuwa kali ila kwamikoa ya Arusha,Mosh na mbeya uu muonekano ni mzur araf pia kwa wale ambao wanafanya ya investment maybe katika biashara itakufanya kupunguza matumiz ya kununua mda wote nguo,u look simple but classic.