Ndo yeye na anadai kwao kigoma anauza kilo elfu kumi sasa hao nguruwe 30 hawaishi tu na kila siku anachinjaDaah! kumbe ndo yule jamaa aliesema ana nguruwe 30 na kila siku anachinja mmoja
teh teh teh kweli JF kuna vituko duuuuuNdo yeye na anadai kwao kigoma anauza kilo elfu kumi sasa hao nguruwe 30 hawaishi tu na kila siku anachinja
nimependa sana hiiNAOMBA MAJIBU YA MASWALI YAFUATAYO: andika majibu KWELI au SI KWELI
=> kuku wa kienyeji hutaga wastani wa mayai 72 kwa mwaka?
=> utumiaji wa jani la ALOVERA husaidia kwa 60% magonjwa ya kuku kama mdondo nk?
=> kuku wa kienyeji sehemu za joto huanza kutaga baada ya miezi 5 au 6 wakati sehemu za baridi ni miez 7 au 8?
=> nyama ya kuku wa kienyeji ni tamu sana?
=> kufuga kuku wa kienyeji kwa njia za kienyeji ni hasara kubwa sana ?
SWALI LA PILI: UNAFUGA NGURUWE AINA/SPICIES ZIPI? WANAZAA WATOTO WANGAPI KWA MZAO MMOJA?
NAOMBA MAJIBU YA MASWALI YAFUATAYO: andika majibu KWELI au SI KWELI
=> kuku wa kienyeji hutaga wastani wa mayai 72 kwa mwaka?
=> utumiaji wa jani la ALOVERA husaidia kwa 60% magonjwa ya kuku kama mdondo nk?
=> kuku wa kienyeji sehemu za joto huanza kutaga baada ya miezi 5 au 6 wakati sehemu za baridi ni miez 7 au 8?
=> nyama ya kuku wa kienyeji ni tamu sana?
=> kufuga kuku wa kienyeji kwa njia za kienyeji ni hasara kubwa sana ?
SWALI LA PILI: UNAFUGA NGURUWE AINA/SPICIES ZIPI? WANAZAA WATOTO WANGAPI KWA MZAO MMOJA?
Vitabu kupitwa na wakati sina hakika mkuu wangu, japo mtoa mada hajaeleza vizuri akaeleweka kiasi cha kumshawishi mtu kunua hicho kitabu anachosema kakiandika.....watu wanataka shamba darasa tuje tuone unavyofuga na mtirirko wa tiba unavyowapa, mambo ya vitabu yamepitwa na wakati,usikute hujui hata kama kuku huwa wanataga
Nimejaribu mara nyingi namna ya kuingia kupitia hii link naona inagoma, niunge 0764255990Hello..... Karibuni Sana Katika group linalohusu ufugaji wa nguruwe
Karibu Sana wewe mtaalamu wa mifugo, mfugaji, mnunuzi, pamoja na Wale wenye kiu ya kujifunza zaidi kuhusu ufugaji huu wenye tija na kipato cha uhakika.....
Click link ifuatayo kujiunga......
Zingatia kujitambulisha pindi tu uingiapo katika group hili
ZINGATIA KUJITAMBULISHA PINDI TU UINGIAPO KATIKA GROUP HILI... JINA, MKOA, SHUGHULI
TSA- PIG FARMING
Hello..... Karibuni Sana Katika group linalohusu ufugaji wa nguruwe
Karibu Sana wewe mtaalamu wa mifugo, mfugaji, mnunuzi, pamoja na Wale wenye kiu ya kujifunza zaidi kuhusu ufugaji huu wenye tija na kipato cha uhakika.....
Click link ifuatayo kujiunga......
Zingatia kujitambulisha pindi tu uingiapo katika group hili
ZINGATIA KUJITAMBULISHA PINDI TU UINGIAPO KATIKA GROUP HILI... JINA, MKOA, SHUGHULI
TSA- PIG FARMING
watu wanataka shamba darasa tuje tuone unavyofuga na mtirirko wa tiba unavyowapa, mambo ya vitabu yamepitwa na wakati,usikute hujui hata kama kuku huwa wanataga