mandela1
JF-Expert Member
- Dec 17, 2013
- 837
- 600
Hey jf naombeni msaada wenu wandugu kama kuna mtaalam wa IT anielekeze namna gani ya kuhack mawasiliano kwa maana akipigiwa mtu simu mfano wife na mtu mwngine basi namm nipate kujua kwa kuisikia ikiita na wakiongoea
Akipigiwa tu na mm simu yangu iwe inaita na akipokea na mm nisikie mazungumzo yao plz niko kwny upelelezi mkubwa msaada tafadhali
Sent using Jamii Forums mobile app
Akipigiwa tu na mm simu yangu iwe inaita na akipokea na mm nisikie mazungumzo yao plz niko kwny upelelezi mkubwa msaada tafadhali
Sent using Jamii Forums mobile app