Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,410
- 119,112
Hello,
Naomba mnisaidie namna ya kucontrol data usage, yamenifika hapa. Kama siku tano hivi nilijiunga kifurushi chenye GB 1.5 jana zikawa zimeisha, nikashangaa sana nikasema anyway labda kuna mahali nimekosea. Jana tena nimejiunga kifurushi hichohicho nashangaa leo kimeisha nimeshtuka sana maana hata YouTube sijaingia kwenda kuchungulia kwenye data usage nikaona app inayoongoza kula data ni Jf, hii Jf imeanza lini kula data kama insta? Mbona siku za nyuma nilikuwa na uwezo wa kutamba na mb 10 siku nzima ni nini kinafanyika siku hizi? Naomba mnisaidie au mnifundishe kutumia free basics
Naomba mnisaidie namna ya kucontrol data usage, yamenifika hapa. Kama siku tano hivi nilijiunga kifurushi chenye GB 1.5 jana zikawa zimeisha, nikashangaa sana nikasema anyway labda kuna mahali nimekosea. Jana tena nimejiunga kifurushi hichohicho nashangaa leo kimeisha nimeshtuka sana maana hata YouTube sijaingia kwenda kuchungulia kwenye data usage nikaona app inayoongoza kula data ni Jf, hii Jf imeanza lini kula data kama insta? Mbona siku za nyuma nilikuwa na uwezo wa kutamba na mb 10 siku nzima ni nini kinafanyika siku hizi? Naomba mnisaidie au mnifundishe kutumia free basics