GIPAMA
JF-Expert Member
- May 21, 2016
- 1,103
- 541
Wakuu habari za majukumu, naomba kuelimishwa kitu kimoja, unakuta tangazo la kazi linasema mwombaji atume barua, CV, vyeti vya elimu na cheti cha kuzaliwa.
Je, katika utumaji, kila kiambatanisho, unakituma katika file lake, ama vyote unaweka katika file moja!?
Asanteni.
Je, katika utumaji, kila kiambatanisho, unakituma katika file lake, ama vyote unaweka katika file moja!?
Asanteni.