Chief Kibonde
Member
- Aug 6, 2019
- 25
- 13
Habarini wana JF.
Penye wengi pia kuna ushikamano na maarifa,
Msaada kuna namna ya kuandika cv au namna yakutuma maombi katika nafasi za kazi mbali mbali?
Hii ni juu ya rafiki angu mpendwa baada ya kumaliza chuo mwaka 2014 Degree ya community development and public relations, hajawahi kupata kazi na katika maombi yakazi katika barua pepe yake kuna application sending zaidi ya 1000 lakini cha ajabu hata kuitwa kwa usahili hapana . na kuna kipindi hadi alishawahi kuniomba cv yangu walau aedit huenda anakosea lakini hadi sasa kasha weka mikono chini nimejaribu hata kuwa na cv yake nikiipisha katika mashirika ninayofanya nayo kazi lakini hamna kitu. na ka pass vizuri sana na vyeti vyake ni vizuri sana.
Jamani wana jamvi karibuni tupeane mawazo
Penye wengi pia kuna ushikamano na maarifa,
Msaada kuna namna ya kuandika cv au namna yakutuma maombi katika nafasi za kazi mbali mbali?
Hii ni juu ya rafiki angu mpendwa baada ya kumaliza chuo mwaka 2014 Degree ya community development and public relations, hajawahi kupata kazi na katika maombi yakazi katika barua pepe yake kuna application sending zaidi ya 1000 lakini cha ajabu hata kuitwa kwa usahili hapana . na kuna kipindi hadi alishawahi kuniomba cv yangu walau aedit huenda anakosea lakini hadi sasa kasha weka mikono chini nimejaribu hata kuwa na cv yake nikiipisha katika mashirika ninayofanya nayo kazi lakini hamna kitu. na ka pass vizuri sana na vyeti vyake ni vizuri sana.
Jamani wana jamvi karibuni tupeane mawazo